Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Nakuelewa...... kumruhusu mtu wako arely sana kwa mtu mwingine, sio vizuri sana

Maturity darlin
Na hawa wenzetu ukimjali sana si unajua kinachofuata!!!

Maturity maters alot ktk ndoa, na hili ni tatizo nililoliona kwake kwa kiasi kikubwa, nilijaribu kuongea nae ajirekebishe maana anaweza tokea espy mwingine ambae hatoweka mipaka then ikala kwake. Aliahidi kulifanyia kazi, so hopefuly mambo yatakwenda sawa.
 
Hekima ni kitu cha msingi sana, unfortunately sio kila mtu amepewa. Me kwanza kuanza kumpigia mtu simu kumtuhumu anatembea na mtu wangu aiseeee
Aiseee uko kama mimi yani hata nikute mnasifiana kuhusu game yenu yani siwezi shika simu nikupigie kukuuliza.Ila kuna wadada wamejaaliwa midomo yani wasione japo message tu ya kusalimiana basi utapigiwa simu na msg za vitisho juu hadi unabaki umeduwaa tu
 
Nah...wala sihitaji sapoti yake.

Sapoti nayoihitaji ni ya Kisura tu, basi!
Mmmmmh!!
Hivi ngabu wanawake walikufanya nini? Nimekumbuka ile kauli ya "labda nimuumbe".
 
Sijui hata nichangie nn ila ant nimejifuza mambo matatu....
1>kumuheshimu mume
2>kumsikilizaaa l
3> kumuamini (lakini si kila jamboo)

Michaelray
Aunty huyo ulomtaja ndio nani?
 
Na hawa wenzetu ukimjali sana si unajua kinachofuata!!!

Maturity maters alot ktk ndoa, na hili ni tatizo nililoliona kwake kwa kiasi kikubwa, nilijaribu kuongea nae ajirekebishe maana anaweza tokea espy mwingine ambae hatoweka mipaka then ikala kwake. Aliahidi kulifanyia kazi, so hopefuly mambo yatakwenda sawa.
Blessed darling, umesaidia ndoa ya mtu. Hiyo opportunity ingempata mtu mwingine weeee
 
Nadhani ww ni msukuma mwenye mfumo dume

Katika watu wasio na mfume dume hapa duniani basi mimi nipo tatu bora!

Katika watu walio mstari wa mbele katika kutetea haki za watu wote [wakiwemo wanawake, watoto, mashoga, na kadhalika] basi mimi nipo tano bora.

Labda useme jingine...
 
Okay, I see.
Ni kweli asee, halafu kama mkaka aliona potential zaidi upande huu, angeshawishika ki urahisi zaidi hata kama alikuwa hana mawazo mengine zaidi ya biashara.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Aiseee uko kama mimi yani hata nikute mnasifiana kuhusu game yenu yani siwezi shika simu nikupigie kukuuliza.Ila kuna wadada wamejaaliwa midomo yani wasione japo message tu ya kusalimiana basi utapigiwa simu na msg za vitisho juu hadi unabaki umeduwaa tu
Hahha sasa unakuta huko unakopiga simu ndo mwenzako mchambaji zaidi, unachambwa wimawima na baby anaendelea naye
 
Mmmmmh!!
Hivi ngabu wanawake walikufanya nini? Nimekumbuka ile kauli ya "labda nimuumbe".

Hahahaaa hawajawahi kunifanya chochote.

Kwani vipi? Unaona mimi ni anti-wanawake au?

Kwani Kisura siyo mwanamke? Si nimesema yeye sapoti yake inatosha....au hujaona?
 
Back
Top Bottom