Bi mkubwa kuna a point umeitaja kuhusu friendship na nimekuelewa. Wengi wetu soon after getting married tunawish kucut some old ties na jamaa/rafiki. But at some point I don't think kama it's good, coz for many years you have been using your friends to sustain, afu leo ndo unataka kuwatema mazima kisa you are married, nah. I understand kuna vitu vitapungua kidogo, maybe priorities etc, but isiwe reason ya kuwakacha Marafiki zetu, tena hii ni commonly between girls. Kila mmoja anamuona mwenzie lakini they don't fit in the same category, kumbe still kuna mambo mengi tu tunayoweza kushirikishana hata kama hayahusu ndoa Coz there is life apart from marriage
Bi mkubwa i guess uncle aliona possibly in the area of business unaweza ukamsaidia zaidi ya mkewe, was it wrong? Sio kila mtu ni mzuri kwenye biashara, I think mngesaidiana tu as long as you don't cross your limit, kuna a a certain distance that has to be maintained honestly.
Hiyo ya mke kumvunja moyo mume ni hatari kusema za ukweli. Kuna watu are naturally dream killers, Yani ukimshirikisha tu jambo lako atakukatisha tamaa huyo hadi ujute na unaweza kuacha kabisa kufanya jambo lako. Ndo unakuta mume anamtenga tu mkewe kwenye mambo yake afu akija kujua anajiliza, lia tu. Kumtia moyo mwenzio si hutaki, ngoja afanye tu vitu vyake kimya kimya ingawa ni vyema kuwa open na projects unazofanya, anything can happen anytime afu vitu vyako vikapotea bure