Niliskia eti ukiona mwanamke kaanza kukuita kaka au ndugu jua hakupendi ameshindwa tu kukuchambaHuu undugu hauvunjiki baba, jikaze tu.
Kweli bana, mara nyingine inakuwa denial tu. Eti Usijali kwa sababu unakula, kwani kwenu ulitoka kuja kwa mume kwa sababu hamlagi? Mungu na asimame
And maybe unakuta mtu ndio anamtegemea mume A-Z, yaani basi yumo anaishi tu kwa matumaini.
Kusema haujali hapana jamani, kujali lazima ila unakuta ndio mtu kishajikatia tamaa yupo tu ilimradi nae kaolewa atafanyaje sasa!! Mapenzi yalishakwisha yamebaki mazoea tu ilimradi siku ziende.
Kuna wanawake wengi leo wameamua tu "kudumu" katika ndoa kwa sababu tu anawaza nikiondoka hapa, ntaanzaje anzaje, ni apeche alolo. Financial independence ya muhimu sana tu, not necessarily kwa sababu ya kuogopa manyanyaso.
Ahsante kwa kulitambua hilo...Endelea na hao wa sasa Dada wenye mioyo ya chuma!Good luck(mwanaume wa zamani).
Ni muhimu mnooooo!! Inakuepusha na mengi kwakweli. Nafurahi ninapoona wanawake wameamka hawajibweteki tena, hata heshima inakuwepo.
Mkuu unafanya nini huku? amesema wanawake wakutane hapa wewe tiyari umeshaanza na kucomment teh teh tehMimi huwa najiamini sana na mawazo na fikra zangu.
Huwa nipo vizuri sana katika kuweka mipango na kufanya maamuzi.
Sijawahi kabisa kuhitaji msaada wa kimawazo toka kwa mwanamke.
We mwenyewe mbona umekuja?Mkuu unafanya nini huku? amesema wanawake wakutane hapa wewe tiyari umeshaanza na kucomment teh teh teh
Kama nakuona!![emoji85] [emoji85] [emoji85]Uwii!, haha, hii ya mazoea mpaka inasisimua mwili. That's like dying emotionally. Yaani upo upo tu mradi siku zinaenda. Kama sio kujitafutia magonjwa sugu ni nini? kisa mtu anakufa kisabuni. Mungu Asaidie kwa kweli.
Haya ntafanyaje tena sis...na ulishaniteka usinifanyie ya roma tu.Ila wewe ndio ulianza kaka yangu.
Kwahiyo tuiendeleze tu.
Duuuh!! Soo sad.Ianzishwe na thread kuwakumbusha wanaume wa support wakes zao pia, Kuna majipu!
Nimesikiliza njia panda ya Clouds juzi, huyo mdada mchakarikaji mwenyewe ila kila mume akiona mambo yanaenda vizuri anaanza figisu mambo yanaharibika. Yani anaona bora waishi kwa shida kuliko bishara za bidada ziende. Mwishowe dada kawa kipofu hata pa kuishi Hana na mwanae mlemavu. Very sad.
Sina matumizi na nyie sitajuta... labda kama una mpango wa kunitumia baadae.Mamdogo shunie yuko wapi? Sijamtia machoni muda.
Huu undugu ulotupachika baadae usije jilaumu tu!!
Kama nakuona!![emoji85] [emoji85] [emoji85]
Haya mambo wanaweza akina Heaven Sent wenye mioyo ya uuguzi.
Sure mama. Lasivyo utavumilia hadi uletewe magonjwa au utiwe kilema kabisa.
Post za shunie nazionaga niliweka censor.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eti kapewa umod!
We huko si ulishakimbia? Umejuaje yupo huko?