Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Mtu anatoka kwao mrembo anakula na kuvaa unamfuata mtu ana anakuzingua na michepuko ukute hata mambo yetu yale hakuna cha maana halafu anaenda kudeal kwa mchepuko hapo hata kuku ataita beeee
Hahahaha
 
Wanaume wanaomuheshimu Mungu, na wanajiheshimu wenyewe wapo wengi tu, so far hakunaga uhaba wa wanaume kabisa. So kumng'ang'ania mtu asiyeniheshimu; sina hicho kipaji kabisa, plus ukiona yanakushinda sana hakuna aliyekufa kabla ya wakati kwa sababu ya kuwa single. My pride, my ego, my dignity, my peace of mind + my health ni vya muhimu sana, sasa siwezi kumruhusu mtu aniharibie tu kirahisi rahisi. Hayo mambo ya utaacha wangapi, ndo yanafanya wanawake waendelee kunyanyasika kwenye ndoa zao wengine hadi kufa kisa eti "Wanaume wote wapo hivyo hivyo". Vidole tu vinapishana sembuse binadamu.

Huwezi kushindana na mpumbavu kwa kuwa mpumbavu pia, atakushinda. Siwezi kuharibu maisha yangu in the name of kumkomesha mtu, wachepukiane tu huko wenyewe na upumbavu wao. Huyo mchepuko ni kahaba shimo refu na mimi mke ni kitu chema, nijikute tu nalower my standard kujilinganisha naye let alone kupigana ngumi sijui maneno na mchepuko. Ikitokea nahitajika kufight, I will fight her spiritually, of coz I'm from God you know. Mungu na anisaidie.
Na maradhi yapo ni shida Mungu atusaidiye tu na ndoa hizi
 
ila mawazo yao mengine cyo bora tu usimsuport mapemaaa
 
Wanaume wanaomuheshimu Mungu, na wanajiheshimu wenyewe wapo wengi tu, so far hakunaga uhaba wa wanaume kabisa. So kumng'ang'ania mtu asiyeniheshimu; sina hicho kipaji kabisa, plus ukiona yanakushinda sana hakuna aliyekufa kabla ya wakati kwa sababu ya kuwa single. My pride, my ego, my dignity, my peace of mind + my health ni vya muhimu sana, sasa siwezi kumruhusu mtu aniharibie tu kirahisi rahisi. Hayo mambo ya utaacha wangapi, ndo yanafanya wanawake waendelee kunyanyasika kwenye ndoa zao wengine hadi kufa kisa eti "Wanaume wote wapo hivyo hivyo". Vidole tu vinapishana sembuse binadamu.

Huwezi kushindana na mpumbavu kwa kuwa mpumbavu pia, atakushinda. Siwezi kuharibu maisha yangu in the name of kumkomesha mtu, wachepukiane tu huko wenyewe na upumbavu wao. Huyo mchepuko ni kahaba shimo refu na mimi mke ni kitu chema, nijikute tu nalower my standard kujilinganisha naye let alone kupigana ngumi sijui maneno na mchepuko. Ikitokea nahitajika kufight, I will fight her spiritually, of coz I'm from God you know. Mungu na anisaidie.
Umeongea kwa hisia sana jamani, nimesoma mpaka nimenyongea.Tuombe Mungu atusaidie katika hili.
 
Huyo mke sio mwehu, ukute ke kaandika nipo free tunaweza kutana na me kujibu I'm gud baby nakupigia hapo mke afanye nini hata kama mimi wote lazima ni deal nao
Wacha we!!
 
Ni kweli na wewe unamganyia hvo wa kwako??? Maana wengi wenu niwazuri sana wa kutoa ushauri wa hekima kwa wenhine ilihali ushauri huohuo wewe huwezi kuutekeleza hata 1/2 yake!.

Ni sawa na mtoa fundo la SEND OFF wakti ayafundishayo kwake anafanya kinyume chake!!!!.
Kama funzo linakufaa chukua.
 
Wanaume wanaomuheshimu Mungu, na wanajiheshimu wenyewe wapo wengi tu, so far hakunaga uhaba wa wanaume kabisa. So kumng'ang'ania mtu asiyeniheshimu; sina hicho kipaji kabisa, plus ukiona yanakushinda sana hakuna aliyekufa kabla ya wakati kwa sababu ya kuwa single. My pride, my ego, my dignity, my peace of mind + my health ni vya muhimu sana, sasa siwezi kumruhusu mtu aniharibie tu kirahisi rahisi. Hayo mambo ya utaacha wangapi, ndo yanafanya wanawake waendelee kunyanyasika kwenye ndoa zao wengine hadi kufa kisa eti "Wanaume wote wapo hivyo hivyo". Vidole tu vinapishana sembuse binadamu.

Huwezi kushindana na mpumbavu kwa kuwa mpumbavu pia, atakushinda. Siwezi kuharibu maisha yangu in the name of kumkomesha mtu, wachepukiane tu huko wenyewe na upumbavu wao. Huyo mchepuko ni kahaba shimo refu na mimi mke ni kitu chema, nijikute tu nalower my standard kujilinganisha naye let alone kupigana ngumi sijui maneno na mchepuko. Ikitokea nahitajika kufight, I will fight her spiritually, of coz I'm from God you know. Mungu na anisaidie.
AMEEEEEEN!
 
Wanaume wanaomuheshimu Mungu, na wanajiheshimu wenyewe wapo wengi tu, so far hakunaga uhaba wa wanaume kabisa. So kumng'ang'ania mtu asiyeniheshimu; sina hicho kipaji kabisa, plus ukiona yanakushinda sana hakuna aliyekufa kabla ya wakati kwa sababu ya kuwa single. My pride, my ego, my dignity, my peace of mind + my health ni vya muhimu sana, sasa siwezi kumruhusu mtu aniharibie tu kirahisi rahisi. Hayo mambo ya utaacha wangapi, ndo yanafanya wanawake waendelee kunyanyasika kwenye ndoa zao wengine hadi kufa kisa eti "Wanaume wote wapo hivyo hivyo". Vidole tu vinapishana sembuse binadamu.

Huwezi kushindana na mpumbavu kwa kuwa mpumbavu pia, atakushinda. Siwezi kuharibu maisha yangu in the name of kumkomesha mtu, wachepukiane tu huko wenyewe na upumbavu wao. Huyo mchepuko ni kahaba shimo refu na mimi mke ni kitu chema, nijikute tu nalower my standard kujilinganisha naye let alone kupigana ngumi sijui maneno na mchepuko. Ikitokea nahitajika kufight, I will fight her spiritually, of coz I'm from God you know. Mungu na anisaidie.


Katika ubora wako. [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji8] [emoji8]
 
Back
Top Bottom