Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Sio kama namtetea, ila kuna wanawake akikuta tu namba yako kwenye simu ya mpenzi wake (sio mume), utakoga matusi ukome. Plus IMO, I don't think it's wise kudeal na mwanamke mwingine, instead of kudeal na mumeo anayekuhusu, yeye ndo wa kuweka limit dhidi ya wanawake wa nje
Yes,for sure
 
Utabadilisha mpaka lini?
Hakuna shida mambo yangu yananiendea! Utaratibu ninaoishi mimi ni vigumu sana kuishi na wadada wa sasa....Huwa sina msamaha na mwanamke anaechepuka na wala sitabadilika.
 
Hakuna shida mambo yangu yananiendea! Utaratibu ninaoishi mimi ni vigumu sana kuishi na wadada wa sasa....Huwa sina msamaha na mwanamke anaechepuka na wala sitabadilika.
Good luck(mwanaume wa zamani).
 
Mhmhmhmhmh yaani unaroho ngumu

Kweli nina 'moyo' mgumu.

Na mara nyingi aina yako hawafanikiwi

Huo ni mtazamo wako tu na sidhani kama una empirical proof juu ya hilo.

Pia mafanikio nayo ni mtazamo wa mtu. Wewe unaweza kumwona mtu hajafanikiwa ilhali yeye anajiona kafanikiwa.

Mafanikio ya kimaisha hayana objective metric....kama hata unajua hiyo ni nini.....
 
Wewe jana si ulikuwa unasema sijazaliwa na baba yako au?
Baba mmoja mama mbalimbali, na huu undugu ulinipachika mwenyewe, @shuie shahidi yangu.
 
Back
Top Bottom