Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Nilikuwa nasikiza mada ya MASUALA YA NDOA Radio OneStereo, jamaa akadai Mume anaweza kuwa na pesa lakini akakosa mshauri wa kumshauri namna ya kuzitumia kama ulivosema na endapo Beki 3 akimpa ushauri tu kidogo anamwona wa maana kuliko Mke na hata ndoa kuvunja.


Asee!
 
Kwanini jamani mie ndio mwenyewe sema tu upewe haki yako. Si unaona mvua hii. Alafu ukinipata huyajuta utabadili na jina utaandika MRS NIMEPATA


Ha ha ha a a et MRS NIMEPATA
 
Back
Top Bottom