Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Hahha wapo vizuri kwa kutoa makofi, makonde
[emoji15] [emoji15] [emoji15] balaa...
Huwa nawaona waajabu sana wanawake wanaorusha ngumi na mateke...
na kama ndiyo hivyo ile tetesi ya wanawake wa kanda za juu kusini ndiyo wanaongoza kwa sura mbaya inaweza kuwa kweli...
Haiingii akilini mwanamke mrembo kurusha miteke na mingumi.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] balaa...
Huwa nawaona waajabu sana wanawake wanaorusha ngumi na mateke...
na kama ndiyo hivyo ile tetesi ya wanawake wa kanda za juu kusini ndiyo wanaongoza kwa sura mbaya inaweza kuwa kweli...
Haiingii akilini mwanamke mrembo kurusha miteke na mingumi.
Naona unahitaji mabanzi sasa
 
Ule msemo wa behind every successful man there is a strong/smart woman ndio unakuja hapa. Wewe ungekuwa mke wa jamaa, angekuwa mbali sana; sasa kapata boya, atabaki hapo alipo
 
Unavyotuona wanyaki ni laini laini?
sina experience sana...
Niliwahi kukutana na mrembo mmoja eneo moja linaitwa Iwiji, Mbeya vijijini huko, nilikuwa natokea Ileje!!
Mpaka tunafika Mbalizi binti ulaini ulishampata!! mbaya tu, nilikuwa naungaisha safari....ningepiga mzigo ningechoka sana! hasa kwenye overnight drive
 
sina experience sana...
Niliwahi kukutana na mrembo mmoja eneo moja linaitwa Iwiji, Mbeya vijijini huko, nilikuwa natokea Ileje!!
Mpaka tunafika Mbalizi binti ulaini ulishampata!! mbaya tu, nilikuwa naungaisha safari....ningepiga mzigo ningechoka sana! hasa kwenye overnight drive
Mmmh hongera
 
sina experience sana...
Niliwahi kukutana na mrembo mmoja eneo moja linaitwa Iwiji, Mbeya vijijini huko, nilikuwa natokea Ileje!!
Mpaka tunafika Mbalizi binti ulaini ulishampata!! mbaya tu, nilikuwa naungaisha safari....ningepiga mzigo ningechoka sana! hasa kwenye overnight drive
Duuuh! Kumbe mzee uko vizuri bado!!
 
Back
Top Bottom