Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwahiyo ili kujipa moyo inabidi useme tu "anapretend".
Tunavuruga wenyewe alafu tunatafuta mchawi ni nani,na watu ndio washajikatia tamaa yaani ilimradi tu.
Haha mtu anafunguka kitu chake amazing, mwingine anasonya tu hahha. Anatamani isiwe kweli kheee
 
Ushirikiano wa kiroho upo wa kimwili upo hadi wa nyama kwa nyama unapatikana
chaguo lako ndio nasubiri
Ushirikiano wote wote[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Sometimes ukiwa na mahusiano toxic na huna guts za kutoka na unaona umeshashindwa kuyabadilisha, all that you need ni kusikia mwingine anatestify vibaya kuhusu ndoa yake, that way unajisikia "ooh kumbe sipo peke yangu, ngoja niendelee kukaa", inafariji sana. Unawish kila mtu awe na maumivu kama yako (Si unajua mahusiano yetu kinachomatter zaidi ni kudumu, hata kama hakuna furaha mweeh)

Mtu akija akiisifia ndoa yake, utasikia tu "wewe lazima ndoa yako ni changa", as if ndoa zote zenye miaka mingi zote ni mbovu kama za kwao. Tunapenda kweli kugeneralise mambo, tulivyo sisi tunahisi na kila mtu yupo hivyo hivyo. Mungu atusaidie
Huwa nakupenda sana wewe binti, unajielewa sana na una akili sana.
 
Umeongea kweli kabisa dota, au mwingine akielezea mazuri basi itaonekana anapretend tu.
Eeh Mungu atusaidie tu.
Maisha yako ni wewe wa kuyatengeneza, usitegemee smoothness maana kuna changamoto pia, are you mature enough to deal with them ili kukusogeza mbali zaidi? Changamoto zipo ili kutupush tufikie kule tutakapo ila kama utaichukulia tatizo basi lazima ufail!!
 
inategemeana Huyo mwenzi wako kakupendea nn,wengine wamependewa utukunyema wao hivyo si vyema ukawaingilia
Mama umesoma kichwa cha mada vizuri kweli!! Sijamuingilia mtu, kama hivyo ulivyo ndivyo upendavyo basi ni vyema kwako.
 
Back
Top Bottom