Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

Karibu sana bi dada. Nafurahi kusoma uzi kama hizi za kuonyesha watu waliomo kwenye ndoa na wanaishi kwa maelewano hata kwenye afya zao wanashirikiana kwa faida zao binafsi na familia husika. Ni nadra sana kukuta habari kama hizi hapa JF, ni kuponda tu mahusiano na ndoa wanaume hivi wanaume vile, wanawake hivi wanawake vile lakini kuna Watanzania chungu nzima wanafurahia mahusiano yao ndoa zao pamoja na majaribuni chungu nzima yaliyokuwepo.
Kwa kweli hadi nimejisikia kuoana ghafla lol
 
Hapana ziko nyingi ila watu hawataki kuziona. Hata marafiki wanaweza kuwa wanaziona nyingi kama hizi lakini hawaji kuziongelea humu, lakini ngoja waone mahusiano/ndoa yenye matatizo! Mbio JF kuja kuandika kuhusu mahusiano hayo au ndoa hiyo.
Binadamu tunavyopenda bad news!!
Ingekuwa uzi wa kumbambika mume mtoto ingekuwa page ya 50 sasa hivi.

Ila angalau nyuzi za hivi zinatia moyo kuwa bado lipo tumaini.
 
We punguza ile naniliu suruali zitakutosha.
(Yaani huyo jamaa niliyemqoute kanichekesha saana . Mwaka wa 10 anatafuta ka kufungia tai haha. Kuna mbegu mbaya hata afukue vipi kunenepa mwiko.)

Upo mama HV.....
 
(Yaani huyo jamaa niliyemqoute kanichekesha saana . Mwaka wa 10 anatafuta ka kufungia tai haha. Kuna mbegu mbaya hata afukue vipi kunenepa mwiko.)

Upo mama HV.....
Kama mwanangu HS nae, mtoto anafukia hatati ila ndio utukunyema alishawekewa X.

Nipo baba wengi wengi, haujambo?
 
Back
Top Bottom