Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

Binadamu tunavyopenda bad news!!
Ingekuwa uzi wa kumbambika mume mtoto ingekuwa page ya 50 sasa hivi.

Ila angalau nyuzi za hivi zinatia moyo kuwa bado lipo tumaini.[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Sometimes ukiwa na mahusiano toxic na huna guts za kutoka na unaona umeshashindwa kuyabadilisha, all that you need ni kusikia mwingine anatestify vibaya kuhusu ndoa yake, that way unajisikia "ooh kumbe sipo peke yangu, ngoja niendelee kukaa", inafariji sana. Unawish kila mtu awe na maumivu kama yako (Si unajua mahusiano yetu kinachomatter zaidi ni kudumu, hata kama hakuna furaha mweeh)

Mtu akija akiisifia ndoa yake, utasikia tu "wewe lazima ndoa yako ni changa", as if ndoa zote zenye miaka mingi zote ni mbovu kama za kwao. Tunapenda kweli kugeneralise mambo, tulivyo sisi tunahisi na kila mtu yupo hivyo hivyo. Mungu atusaidie
 
Sometimes ukiwa na mahusiano toxic na huna guts za kutoka na unaona umeshashindwa kuyabadilisha, all that you need ni kusikia mwingine anatestify vibaya kuhusu ndoa yake, that way unajisikia "ooh kumbe sipo peke yangu, ngoja niendelee kukaa", inafariji sana. Unawish kila mtu awe na maumivu kama yako (Si unajua mahusiano yetu kinachomatter zaidi ni kudumu, hata kama hakuna furaha mweeh)

Mtu akija akiisifia ndoa yake, utasikia tu "wewe lazima ndoa yako ni changa", as if ndoa zote zenye miaka mingi zote ni mbovu kama za kwao. Tunapenda kweli kugeneralise mambo, tulivyo sisi tunahisi na kila mtu yupo hivyo hivyo. Mungu atusaidie
Umeongea kweli kabisa dota, au mwingine akielezea mazuri basi itaonekana anapretend tu.
Eeh Mungu atusaidie tu.
 
Ushirikiano naona unapungua siku hadi siku, sijui kwanini[emoji24] [emoji24] [emoji24]

Wewe ukiacha basi na Bonny ataacha hivyo jitahidi.
Nilishaacha kweli.. sasa hivi natafuta wa kuzeeka naye nione kama kakitambi kakuzugia kama katakuja. Nimechoka kupunguza mikoti ya suti
 
Usjal kijana anapima maji kwa mguu mie kuacha siwez si unanjua mkweo
Ushirikiano naona unapungua siku hadi siku, sijui kwanini[emoji24] [emoji24] [emoji24]

Wewe ukiacha basi na Bonny ataacha hivyo jitahidi.
 
Eeh lazima uone wanapretend, maana ukipima ndoa yako labda na nyingine ulizozishuhudia in your circle; unajionea mauzauza tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwahiyo ili kujipa moyo inabidi useme tu "anapretend".
Tunavuruga wenyewe alafu tunatafuta mchawi ni nani,na watu ndio washajikatia tamaa yaani ilimradi tu.
 
Wewe tuombeanage mabaya tu....

Utafikiri nilikutoa usichana then nikakudump [emoji57][emoji57]
Kesho yako inajengwa na leo yako. Hivyo sio maombi yangu ni yako hayo.
 
Back
Top Bottom