[emoji23][emoji23]Eeh mzee mwenzangu.Ile njia ya kufika piemu
Sawa mkuu, Uzi wako umenifungua macho kwakwel.Siku kakija hakatakuwa na break, kwahiyo usikitamani mkuu.
Kwakweli itabidi aache mambo zake tushirikiane lolHuu ushirikiano inabidi umuambukize msukuma.[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Toooooba!![emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134]I want marry you
Hahahaha.. Mimi nilitamani hako kakitambi nika kapata bila kutarajia sasa hv natamani katoke nirudi kwenye hali yangu ya zamaniAisee maisha ya ajabu sana, kila mtu hutamani kile ambacho hana, Mimi ni mwaka wa 10 sasa natafuta angalau kakitambi ka kuvalia tai lakin hakaji.
Mpishe mwenzio. ..Toooooba!![emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134]
Kwakweli tumechoka dissapointments, tutamuozesha kilazima sasa.Huyo parking chelewa chelewa atakuta mwana si wake tena, watu tumeshaanza kuandaa shughuli hivo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwahiyo ili kujipa moyo inabidi useme tu "anapretend".
Tunavuruga wenyewe alafu tunatafuta mchawi ni nani,na watu ndio washajikatia tamaa yaani ilimradi tu.
Nimekumiss mpenzi. Nahitaji ushirikiano.nipo hapa mammito
ndio naamka
Haya nimempisha.Mpishe mwenzio. ..