Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Nimekumbuka siku ile ulivyomfuruga kaka angu mito aisee nilichekajeeeHeaven Sent mfurugano mwingine huu hapa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nimekumbuka siku ile ulivyomfuruga kaka angu mito aisee nilichekajeeeHeaven Sent mfurugano mwingine huu hapa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Aisee, nimekupata mkuuHahahaha.. Mimi nilitamani hako kakitambi nika kapata bila kutarajia sasa hv natamani katoke nirudi kwenye hali yangu ya zamani
Mbona mimi nikijisifia mazuri yangu unaniita nshomile?Umeongea kweli kabisa dota, au mwingine akielezea mazuri basi itaonekana anapretend tu.
Eeh Mungu atusaidie tu.
Kwani kuna ubaya nikikuita nshomile?Mbona mimi nikijisifia mazuri yangu unaniita nshomile?
Mbona mimi nikijisifia mazuri yangu unaniita nshomile?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Teh!, walisemwa..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Aisee maisha ya ajabu sana, kila mtu hutamani kile ambacho hana, Mimi ni mwaka wa 10 sasa natafuta angalau kakitambi ka kuvalia tai lakin hakaji.
Kumbe mdogo wangu haujamchoka eeh!! Afadhali ule ugonjwa wako wa kuchoka watu haujampitia.Hamna ubaya...ila asikwambie mtu hamna raha kama kuwa 'in-shape'
Unakuta mzee kama mimi hata nikiitwa bebi na akina cute b unaona poa tu. Sio mtumbo kule,mishavu huko then kitoto kinakuita bebi!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahaha lol! Kwani nshomile si watu Mkuu!?
Ha ha ha nshomile ni watu mkuu ila mimi si mmoja wao ila huyo espy kwasbabu hanikubali ananiita hivyo kunisanifu!
Kikubwa ni kuamua. Amua kuwa sasa napunguza uzito.Kumbe mdogo wangu haujamchoka eeh!! Afadhali ule ugonjwa wako wa kuchoka watu haujampitia.
Ni raha sana kwakweli, ila sasa hii midomo na uvivu wa mazoezi unatuponza.
True datKwakweli ni kujitoa kweli kweli, ni shughuli sio kidogo. Ila ukiyazoea usipofanya hujisikii vizuri.
Kwakweli ni kujitoa kweli kweli, ni shughuli sio kidogo. Ila ukiyazoea usipofanya hujisikii vizuri.
Kwakweli mazoezi bila kucontroll chakula ni kazi bure, unless ufanye yale ya kufa mtu.Kikubwa ni kuamua. Amua kuwa sasa napunguza uzito.
Inatia moyo siku hizi watu wana mwamko mkubwa wa mazoezi ila mazoezi bila ku-control chakula ni kazi bure.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Ukitaka uzuri shurti udhurike. Juhudi zenu sasa huna tatizo la kuchagua nguo moja baada ya nyingine ili kupata ile ambayo tumbo litakaa vizuri. Pia kuvua nguo mbele ya SO pamoja na picchu hakuna aibu tena ya kuogopa tumbo lililofutuka. Tumbo noma linaharibu shape kwa sana tu.