Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

😀😀😀
Bora hata we Mwanaume kuitwa mkuu sio mbaya
Mi nachukiaga sana kuitwa mkuu, agrrr tena mwanamke kabisa yani ananiita mkuu silipendi hili jina

Mwanaume aniite mkuu sawa sio mwanamke...


Unaanza kujenga ukuta mapema...fikiria mwanaume anakwambia nmekupenda mkuu
 
Sijui kwanini watu huwa tunakimbilia kusambaza mabaya ya ndoa tu wakati yapo mengi mazuri pia. Just emagine hata maisha na wazazi wako yana changamoto, sembuse watu mlokutana ukubwani!! Ndoa ni tamu kama mliooana mnatambua thamani ya kitu mlichokiingia. Nothing comes easly inahitajika wote mjitoe kutengeneza ndoa muitakayo. Aina ya ndoa mtakayoishi inategemeana na foundation mliyoijenga, hata wanangu nawalea ktk misingi imara ili hata wakikutana na dunia iliyovurugika still wakumbuke kuwa bado kuna mazuri mengi humohumo ni wao kuchagua njia iliyo sahihi tu.
I see!!
 
Karibu sana bi dada. Nafurahi kusoma uzi kama hizi za kuonyesha watu waliomo kwenye ndoa na wanaishi kwa maelewano hata kwenye afya zao wanashirikiana kwa faida zao binafsi na familia husika. Ni nadra sana kukuta habari kama hizi hapa JF, ni kuponda tu mahusiano na ndoa wanaume hivi wanaume vile, wanawake hivi wanawake vile lakini kuna Watanzania chungu nzima wanafurahia mahusiano yao ndoa zao pamoja na majaribuni chungu nzima yaliyokuwepo.
Huo umeshakuwa ugonjwa humu jf haswa wanaume unadhani bila kumponda mwanamke kusingekuwa na thread humu
 
Toa darasa kamili LA menu!! Watu wale nini Na Saa ngapi?
 
Hongera sana. Huu uzi uliojaa mazuri kuhusu ndoa wengi huukimbia hutawaona humu lakini ungekuwa umekuja kuandika mabaya kuhusu ndoa saa hizi ungekuwa umeshafika page 30.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom