kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,489
- 18,379
Mkuu ni heri upate mke mwenye profession ya bongo movie atakuheshimu kuliko kupata mwanasheria huwa wanaviburi sana, kuna jamaa yangu alipata mwanasheria tena wa diploma tu ya lushoto college, timbwili na kivumbi alikiona hadi akaamua kumpiga chini tu.
labda awe mbaya..
woman is woman hata kama awe mwanajeshi wa nyota 5