Habari za sasa wana jukwaa..
mimi Excel, nina duku duku ambalo nafahamu linaweza tatuliwa na wadau humu ndani..
naombeni kufahamu wanawake wenye hizi profession wana tabia gani katika ndoa zao ama wanapokuwa uchumbani mwao..
1. wanawake wanasheria..
2. wanawake wenye profession za mambo ya fedha kama finance management na accounting..
3. wanawake madaktari na waalimu..
je, hawa wanatumiaje proffession zao katika cheating wakuu???
asanteni...
madaktari/manesi ni waaminifu sana,lakini pia ni watamu sana....
Walimu wa wapi?kama wa nchi hii utakuwa umekosea sana!Nimeona wanavyosaliti wapenzi wao hadi inasikitisha!Magauni sawa wanavaa marefu lakini tabia hazifunikwi na magauni!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
engineer yan mambo meng unga wa ngano unasubir dada angu nisaidie ktk hl
Mamndenyi mbona sikuoni tena, sikusikii ukisema..
Kwa hiyo nikusaidie nini mdogo wangu
sawa mama!!
halafu nyie huwa nawapendaga sana!! sijui nianze na wewe???
Kunipa character zao niwaelewe vizur
asante sana kaka!madaktar na walio kwenye masuala ya fedha mara nyingi hawana tatizo. Lakin madaktar wako vizr zaid. Ni wapole, wakarim na wanajua kubembeleza...... Binafsi kila napomwona daktar wa kike au ness huwa napagawa sana nao ni wanawake wazur sana jaribu kaka utaenjoy sana