Wanawake wengi wazuri wanatuingiza gharama kubwa na kitandani hawana miujiza. Watoto wa Uswazi ni watamu sana ila wachawi kama Mshana Jr

Wenzako wanavua samaki wewe unapambana kuvua wanawake chupi ndiyo tabia zako hizi
JamiiForums-1856282074.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii saa tano kasoro, natoka Ledgers Plaza Bahari Beach, kufanya zinaa na mwanamke asiye mke wangu, ila tu ni hawara.

Kiburi na dharau na jeuri ya mke wangu inanifanya nipoteze hamu naye kabisaaa. Mwanamke ana gubu, ana matusi, ana masimango na kila kitu cha pepo mchafu, licha ya kwamba ana mazuri yake mengi kuliko mabaya.

Kwa uzoefu wangu hawa wadada warembo nimepita nao wengi wa kutosha, unaingia gharama kubwa, uvunguni hawana miujiza.

Ila watoto wa Uswahilini ni wajuzi sana ila wachawi sana, hukawii kuikimbia familia.
"Black people are GOOD FOR NOTHING else, apart from indulging in Sex and Marrying so many Wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Hii saa tano kasoro, natoka Ledgers Plaza Bahari Beach, kufanya zinaa na mwanamke asiye mke wangu, ila tu ni hawara.

Kiburi na dharau na jeuri ya mke wangu inanifanya nipoteze hamu naye kabisaaa. Mwanamke ana gubu, ana matusi, ana masimango na kila kitu cha pepo mchafu, licha ya kwamba ana mazuri yake mengi kuliko mabaya.

Kwa uzoefu wangu hawa wadada warembo nimepita nao wengi wa kutosha, unaingia gharama kubwa, uvunguni hawana miujiza.

Ila watoto wa Uswahilini ni wajuzi sana ila wachawi sana, hukawii kuikimbia familia.
Kwanini usitafute njia nyingene mpak uchepuke wanaume hamridhiki kwa nini
 
unakaribisha gundu maishani mwako ndugu kwa kuwaingili machangudoa bila kujua.

nafikiri ungejichua japo ni wazo tuh lakini
Sasa ndio umeongea nini?


Ivi unajua ni hatari kiroho kuliko kimwili? Anayejichua ni kama anadhoofika kiroho(Unapishana na bahati,jana yako na kesho yako hazina tofauti kimafanikio),kiakili( na hata kimwili kwa kiasi,kama utaumwa mgongo,kiuno,tabia ya kughairi mambo n.k) -KAMA UNAFANYA MCHEZO WA KIPUMBAVU na hamu haikati,


Ila anaechepuka hasara zake nyingi ziko kimwili(magonjwa+kifedha) na muhimu zaidi HAMU INAPUNGUA KWA ASILIMIA KUBWA SANA...UNAWEZA CHEPUKA LEO UKAENDELEA TENA BAADA YA WIKI2 ILA KUJICHUA HUWEZ HIVYO.


Alafu ukiwa unachepuka inaongeza hamu ya kutafuta hela kwa speed zaid ila kujichukulia sheria mkononi unakuwa bwegebwege ,wewe kupata na kukosa kwako sawia tu.


NB: KAMA MFALME ALIKUWA NA WAKE WADOGO(MICHEPUKO) 300+ SASA UTASEMAJE INALETA MIKOSI ?


EMU TUACHE KUISHI KWA AKILI ZA MTAANI NA GOOGLE
 
Sasa ndio umeongea nini?


Ivi unajua ni hatari kiroho kuliko kimwili? Anayejichua ni kama anadhoofika kiroho(Unapishana na bahati,jana yako na kesho yako hazina tofauti kimafanikio),kiakili( na hata kimwili kwa kiasi,kama utaumwa mgongo,kiuno,tabia ya kughairi mambo n.k) -KAMA UNAFANYA MCHEZO WA KIPUMBAVU na hamu haikati,


Ila anaechepuka hasara zake nyingi ziko kimwili(magonjwa+kifedha) na muhimu zaidi HAMU INAPUNGUA KWA ASILIMIA KUBWA SANA...UNAWEZA CHEPUKA LEO UKAENDELEA TENA BAADA YA WIKI2 ILA KUJICHUA HUWEZ HIVYO.


Alafu ukiwa unachepuka inaongeza hamu ya kutafuta hela kwa speed zaid ila kujichukulia sheria mkononi unakuwa bwegebwege ,wewe kupata na kukosa kwako sawia tu.


NB: KAMA MFALME ALIKUWA NA WAKE WADOGO(MICHEPUKO) 300+ SASA UTASEMAJE INALETA MIKOSI ?


EMU TUACHE KUISHI KWA AKILI ZA MTAANI NA GOOGLE
ni wazo lakini
 
"Black people are GOOD FOR NOTHING else, apart from indulging in Sex and Marrying so many Wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Acha kujidharau yaani weusi wako unasemwa vibaya na wewe una support. Yaani kwenda shule na kujua kusoma kingereza unajikuta unajua hadi kufikia hatua ya kudharirishwa na kujidharirisha na kujiona una akili. Baba yako na mama yako wamekupambania kukupeleka shule ujue hicho kiingereza ili uje uwaite good for nothing.

Jikubali wewe na jamii yako hizo slavish mind achia wapumbavu
 
Back
Top Bottom