Pole na Hongera kwa Dada zetu.
Marianah anao,jaribu kumwita .
Mimi bado Sina ila nimeona kwa Dada zangu watatu wakila visu
Mmoja amekula Kisu mtoto wake wa nne.
Dk alimwambia kuwa akijifungua kawaida anaweza akafariki..maana BP zilikua juu Sana
Mwingine huyu uzao wake wa tatu...mapacha
Mmoja alitanguliza kichwa,mwingine miguu...dk akamwambia apasuliwe maana Ni hatari Hali km hiyo
Mwingine alipata uchungu amekaa bdae ikashindikana akawa anaenda kupotea...ikabidi wampasue
Yaani walipelekwa leba Huku nyuma tunaomba Sala zote jasho zinatokana.
Kile kidonda si mchezo...
Watu sio Kama wanapenda kupasuliwa
Lizarazu acha kukariri maisha
Nataka Lizarazu asome hapa.Pole na Hongera kwa Dada zetu.
Kwa mifano hii halisi. Bado kuna kima hazitaelewa..
Kwa hiyo huna marinda??Una uhakika sijazaa?.
Mi nadhani kabla hawajashadadia kwamba wanawake wanapenda kupasuliwa inawapasa wajue kwanza kile kidonda uchungu wake ukoje hasa baada ya kujifungua na ile ganzi kuisha, hapo ndio watajua kama yupo anayeitaka basi ana moyo wake au sababu zake ambazo ataona kuwa na kile kidonda ni jambo dogo.Alishakupa mfano wa dada yake kule juu.
Utamwambia Nini!?.
Tatizo lake huwa ana waza hasi kila siku.
Anaumia Kwanini yeye atafute hela kwa jasho halafu mkewe asizae kwa uchungu
Unadhani wanajua Basi.Mi nadhani kabla hawajashadadia kwamba wanawake wanapenda kupasuliwa inawapasa wajue kwanza kile kidonda uchungu wake ukoje hasa baada ya kujifungua na ile ganzi kuisha hapo ndio watajua kama yupo anayeitaka basi ana moyo wake au sababu zake ambazo ataona kuwa na kile kidonda ni jambo dogo.
Atakuja baadaye .Ameshaelewa bila shaka.
Kabisa.Mi nadhani kabla hawajashadadia kwamba wanawake wanapenda kupasuliwa inawapasa wajue kwanza kile kidonda uchungu wake ukoje hasa baada ya kujifungua na ile ganzi kuisha, hapo ndio watajua kama yupo anayeitaka basi ana moyo wake au sababu zake ambazo ataona kuwa na kile kidonda ni jambo dogo.
Hizo tafiti zako umezifanyia wapi? Una uhusiano upi na vyumba vya kuzalishia?Habari wakuu na wadogo wote.
Hii si habari njema hata kidogo. Kumekuwa na ongezeko la wanawake wanaojifungua kwa njia ya upasuaji kuliko njia ya kawaida. Na habari yakusikitisha ni kwamba, wanawake wengi huomba wenyewe kufanyiwa upasuaji.
Kwanza naomba nisiulizwe chanzo cha habari hii. Huu ni utafiti wangu binafsi, kutokana mizunguko ya kila siku na watu ninaokutana nao. Source kubwa ya habari hii ni mchumba wangu ambaye ni hufanya kazi kwenye idara ya afya sehemu fulani.
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa wanawake wengi kuomba wafanyiwe operation badala ya kusubiri kupush kama ambavyo imezoeleka. Kinachowapelekea wengi kupenda kufanyiwa upasuaji ni sababu za urembo tu na kupenda starehe. Hawana lingine. Yaani cosmetic and leisure reasons are behind the whole movement. Wapo wanaodai sehemu zao za siri zitatanuka na hivyo kupoteza mvuto baada ya kujifungua na wengine wakidai kujifungua kwa kupush ni maumivu sana hawawezi kuyavumilia. Wadada hawataki shida kabisa. Ikumbukwe hospitali binafsi ni biashara, na motive za kampuni (biashara) ni kumaximize profit. So ukija unataka kupasuliwa tutakupasua tu sisi tupige hela vizuri.
Kasumba hii inaendelea hata kwenye kunyonyesha watoto. Wanawake hawataki kunyonyesha watoto matiti yao kwa sababu wanadai yataharibika na kupoteza mvuto. Hali si shwari huko mahospitalini, hasa ya private ambako kuna uhuru wa huduma, specilists wengi wanafatwa na wadada wakidai wawapasue hawana mpango wa kupush. Uchunguzi umegundua wengi wa wanaopenda kupasuliwa ni wanawake wenye kipato cha kati ambao wanaweza kumuda gharama za upasuaji, either kwa bima au kwa kulipa cash. Ambao wengi ni wenye kiwango fulani cha elimu yaani tunaowaita wasomi huku katika jamii yetu.
Kule jijini Mwanza kuna afisa wa polisi mmoja mkewe alikua client wangu katika mambo fulani. Dada yule anayeitwa Eunice alikua na watoto 3 mwaka 2016. Watoto wake wote 3 aliwazaa kwa njia ya upasuaji ambapo kuna 2 au wote watatu (sikumbuki vizuri) wanafanana tarehe zao za kuzaliwa ikiwa ni juhudi zake mwenyewe kupitia kujifungua kwa njia ya upasuaji. Kimsingi yeye hataki kabisa masuala ya kuumia uchungu wakati wa kujifungua.
Hiyo ndio hali halisi
Mods kama heading haijakaa vizuri rekebisheni.
Kwa hiyo kwenye huu uzi tutegemee kuwajua wasio na marinda??Ukweli ulio mchungu na usiosemwa na wengi ni kwamba wanapendelea upasuaji kwakuwa wengi hawana marinda
Ni swala la muda tu dada.Ooooh!! Basi wakikua na kukuta mke wake kakutana na hizo changamoto hapo ndio watajua kile kidonda sio rafiki kabisa.
Unaandika kwa hisia zako au kitu unacho kidhahania tu... Yani unafikiri mambo yanaenda kienyeji namna hiyo..
Eti labor Dr. aanze dialogue na Mama.
Hizo ni critical moments. Ni utaalamu tu. Hivi kwnza mwanamke mwenye uchungu unamjua wewe... !?
Una mke!? Una mtoto!?
Live bila chenga.Kwa hiyo kwenye huu uzi tutegemee kuwajua wasio na marinda??naamini watajitetea sana.
Hahahaa!!! Yabidi aisee.Ni swala la muda tu dada.
Ngoja tumpe muda.
Naomba umtag kwenye comments zako...nataka ajifunze kitu.
Kwa hiyo kwenye huu uzi tutegemee kuwajua wasio na marinda??naamini watajitetea sana.
Hata baadhi ya wanawake hupendelea hivyo
Wenzio wanakwepa kuwa na vikojoleo vipana alama zinatoka tu. Na hivi siku hizi kuna bio oil, alama haziwatishi kabisa. You just apply the oil for some time, and voila, no scars. No nothing!Hivi nasikia ukizaa kwa opereation inaacha alama hapa kwenye tumbo?
Heri nije kuzaa kwa uchungu wa kupush kuliko kubakiza alama tumboni
Point na majibu yote yako hapa,kama case ni kuogopa kutanuka maumbile ya uzazi au maziwa kulala,kiuhalisia hii process navyojua huwa inaanza tokea mimba inapoingia,kila kitu kinaongezeka ukubwa ili ku accomodate yajayo...Kwanza kabisa ni maamuzi yake na anasababu zake. Si kila mtu anataka ku experience uchungu wa uzazi.
Pili operation haisaidi kitu katika kubakiza usichana wa mtu. Kwa maana mtu anapokaribia kujifungua njia huwa ishaanza kutanuka (if at all unadhani kuzaa kawaida kunalegeza chiu). Kama matiti kulegea huwa yanalegea tokea kipindi cha mimba unless uwe hujanenepa.