Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Labda!
Si useme tu? tunahitaji sana experience yenu ili tuweze kujkiposition na hatimaye kujiadjust kimawazo!!
Labda!
Si useme tu? tunahitaji sana experience yenu ili tuweze kujkiposition na hatimaye kujiadjust kimawazo!!
Balance ya michejo bana na wewe, yaani anakuwa anahangaika kujipozishooo sanaDah balance ipi Shantel, nimecheka kweli
We nawe utaweza kujirefusha sasa hata nikikuambia.
No no no no! nimesema tuweze kujiadjust kimawazo na kujiposition. Binafsi mimi ni mrefu na najua mnatumaind. Sasa nilitaka kusikia toka kwenu ili ukiprove otherwise niondokane na fikra nilizonazo.... upo mchumba??
Warefu wazuri kwa show off tu kule kunako shughuli kama bibie shantel alivosema.........mfupi akijikunja utaomba majiTatizo wengi mnamaringo sana mkifikiri mmemaliza kila kitu kumbe.................
Ni mikoa ipi inaongoza kwa kutoa product ya watu wafupi tz
Loooooooo mtoto wewe sina hamu, mbavu zangu usinichekeshe sn naumwa mie hhahahahahahahahahahahhahahaaaaa!!!!!Hawana balance kitandani mamiguu mareeeefuuuuu
Warefu wazuri kwa show off tu kule kunako shughuli kama bibie shantel alivosema.........mfupi akijikunja utaomba maji
Hahahahahaaa pole mwaya, hawajambo kabisa huko kwenu vipi?Halafu Gaga naona unatutafutia wenzako magumi ya weekend,mwe ngoja nikae kimya.Watoto hawajambo lakini?
Hahahahahaaa pole mwaya, hawajambo kabisa huko kwenu vipi?
Watanzania wengi kuanzia miaka 28 na kuendelea tunaowaona ni wafupi, sio kwa sababu genetically ni wafupi, bali kwa sababu ya malnutrition na suluba za kazi nzito kijijni walikokulia. Unakumta akiwa mtoto wakati wa stage ya ukuaji alikuwa anabeba ndoo sita za maji kila siku kilomita tano au zaidi.
Ndio maana unaweza kushangaa siku hizi unaona baba mfupi, mama mfupi (au wa wastani), lakini kitoto kinatoka kingongoti, hiyo sasa ndiyo genetic maana mtoto anakuwa pengine amepata malezi mazuri na laini.
Na ndio maana ukiangalia sasa hivi vijana wengi walio masekondari au vyuoni, majority ni relatively tall (kutoka ft 6 na kuendelea)...
Pia wanaume wafupi huwa wanajishughulisha sana kwa sababu hawapendi kujiona uwezo wao ni sawa na urefu waoHawana balance kitandani mamiguu mareeeefuuuuu
a short penis is very active compared to tall penisKwanza mamtu marefu hayawezi kwenda round zaidi ya mbili, yakiwa kitandani yanakosa balance na pia huchoka mapema.raha kwa mtu mfupi, atambinua mwanamke kwa staili yeyote na mahali popote, mfano hata kwenye sofa la kukaa mtu mmoja.
Lakini wanakwambia usiingize yote, na kwa sababu huwachoPia uhusiano ni mkubwa wa kuwa na uume mrefu, wadada hupenda uume mrefu, i am sooo tallllll, ni kweli kabisa
Umeonae...
Na hili limewafanya wanaume wengi warefu kufail mambo mengi katika maisha, kwa kudhani kuwa kila mtu anawaadmire...
Kwenye interview wanashindwa kirahisi sana na wafupi kwa kudhani urefu wao utawabeba. Lakini kwenye kutafuta ela pia...
Powa mkuu! Karne hii hatupaswi kuongelea urefu na ufupi pasipo kubainisha vipimo. Mara nyingi macho hudanganya. Waweza kumuona mtu kuwa ni mfupi kumbe ni kwa sababu ya unene uliokithiri; au ukamuona mtu ni mrefu kumbe kakonda ndo maana anaonekana mrefu.Ni urefu na ufupi wa futi ngapi unaoongelewa hapa? ingekuwa poa tukawekana wazi jamani
Ila kama ndivyo, basi nawapa pole walio warefu maana wapo kwenye risk sana.
absolutelySijui mi mfupi au mrefu . . . . mmmh!Kwa kweli nime-experience wanawake kupenda wanaume warefu, tena akiwa mweupe wa rangi ya ngozi then unajimudu kimaisha ndo balaa zaid, unawashika wadada mpaka basi. Lakin haya yalikuwa kipindi fulan cha nyuma.Ila kwa kizazi cha sasa, wanawake wanapenda wanaume waliojengeka mwili kimazoezi zaidi, na kimo wala sio ishu tena. Huhitaji kabisa kufika futi 6 tena. We piga tizi, tengeneza 6 pak tumboni, kuwa smart na nadhifu, na wakati wa mitoko ile isiyo ya kikazi kama kutembelea rafiki, au ile ya weekend unaweza kuvaa zile nguo za kushika mwili kiasi, kama T - Shirts, then check mambo uone.Nakwambieni hao warefu, sijui white, sijui Em Bii Ooo ndefu wataonekana ka midori tu. Na pia kwa sasa wengi wenye ndoa imara na wanaooa kwa wingi si wanaume warefu. Hapo ndo mtajua wanawake hawababaiki tena na U-Tall wa mwanaume.