Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

badilika ww ata mi mfupi nakupa ulinzi mzuri pengine kuliko ata uyo mrefu wako
Sitabadilika, nilienae ananitosha, nyingine ni tamaa tu. Labda wabadilike ambao hawajapata bado na walikuwa na mawazo kama yangu mkuu.
 
Sitabadilika, nilienae ananitosha, nyingine ni tamaa tu. Labda wabadilike ambao hawajapata bado na walikuwa na mawazo kama yangu mkuu.
aya bana sisi wafupi ivi kwann uwa mnatudharau sana mkitulinganisha na wanaume warefu????
 
Mm ni mfupi ila wananikubali kinoma noma wanachojoa tu bikin zao mageton
 
aya bana sisi wafupi ivi kwann uwa mnatudharau sana mkitulinganisha na wanaume warefu????
Samahani kama nitakuwa nakosea, kwa upande wangu cpendi kabisa mwanaume mfup nahisi hata maumbile yake ni mafupi pia, alafu mwanaume mrefu ktk mahusiano ni romantic mfano umeshidwa kufikia kitu labda kwenye kabati yy anakuja kukusaidia kutoa, bt ingekuwa mfupi haupati usaidiz labda na yy apande juu ya ndoo au stuli ndo afikie, so vitu kama hvy havileti mshawasha kwenye mahusiano
 
Urefu, ufupi, weupe, weusi it depends unalinganisha na nani.
..........All we need is Love.................anachotaka mwanamke ni upendo.
For your information, katika kila ndoa 10 kwa sasa hivi, ndoa mbili 2 zina amani. think about it. Chukua hatua. Urefu ufupi weusi weupe it is ok. Just choose what you deserve.
Unajua love huwa inakuja kama uko comfortable na mtu yani kama ni ufupi na ww hujal au unapenda wa fupi hapo hakunashida, bt kama ww unapenda type flan afu ukapata nyingine ni ngumu kuwa huru nae, mfano mm kuna mkaka ananipenda sana kwanza anajielewa, sio womanizer (najua background yake ndo maana ninauhakika na ninachokisema maana hamkawii kusema oooh cjui nn )ana hofu ya mungu sana, na nimtu mwenye future yake kwa kifupi ni husband material... Bt ttz ni mfup sanaa yani ananifikia kwenye maziwa pili ana matege hatari sasa hvy vitu viwili ni vikwanzo kwangu especially ufup cko comfortable nae kabisaaaaaaaa
 
Huwa nacheka sana pale unapokutana na mabinti anakuangalia na kuadmire urefu wako anashindwa tu kusema ana smile. This happens a lot to us tall guys. Tushazoea. I think women are subconsciously programmed to go for tall men for a sense of security, mgegedo na procreation kwa ujumla. Ni kama wadada wanaovutiwa na vile kaka smells. Aidha, wanaume warefu tuko confident sana. We don't really care much, ukiringa wewe atakuja mwingine na mwingine. Women like confident dudes. Mwingine analainika kabisa when you hug her. Wengine ukiwa-hug wanapiga kabisa vimguu juu juu. Hapa ndipo ndugu zetu wafupi wanamind. Other than that nafikiri attraction is a personal choice.
Yes nakubaliana na ww, hakuna raha kama kum hug tall men afu mwanamke awe mfup kidogo ili anyanyue shingo na miguu raha sanaa, bt ku hug wanaume wafup inabid mwanamke ainame ili amfikia even kissing to tall men is romantic compared to short guy
 
Pia uhusiano ni mkubwa wa kuwa na uume mrefu, wadada hupenda uume mrefu, i am sooo tallllll, ni kweli kabisa

Lakini sio mara zote, wapo wanaume wafupi wana uume mrefu. Sio kweli kwamba wadada wote hupenda uume mrefu
 
Sasa kama wewe mrefu na hela huna.... [emoji57][emoji57].. Si bora huo urefu wako uwahuzie wafupi..??.. [emoji57][emoji57]
 
Samahani kama nitakuwa nakosea, kwa upande wangu cpendi kabisa mwanaume mfup nahisi hata maumbile yake ni mafupi pia, alafu mwanaume mrefu ktk mahusiano ni romantic mfano umeshidwa kufikia kitu labda kwenye kabati yy anakuja kukusaidia kutoa, bt ingekuwa mfupi haupati usaidiz labda na yy apande juu ya ndoo au stuli ndo afikie, so vitu kama hvy havileti mshawasha kwenye mahusiano
ila dada kusu maumbile wataalam wanasema hayana uhusiano wowote ule ni kimo cha mtu...mf.mwanaume mrefu anaweza kuwa na maumbile mafupi na mwanaume mfupi anaweza kuwa na maumbile marefu kuliko uyoo mtu mrefu....af kusu kusaidiwa mbona ilo suala kama lako lina njia mbadala nyingi tu haimanshi mi nkshindwa fikia kitu kwenye kabati basi hatuwezi kitoa juu ya kabati
 
ila dada kusu maumbile wataalam wanasema hayana uhusiano wowote ule ni kimo cha mtu...mf.mwanaume mrefu anaweza kuwa na maumbile mafupi na mwanaume mfupi anaweza kuwa na maumbile marefu kuliko uyoo mtu mrefu....af kusu kusaidiwa mbona ilo suala kama lako lina njia mbadala nyingi tu haimanshi mi nkshindwa fikia kitu kwenye kabati basi hatuwezi kitoa juu ya kabati
Nimekuulewa kaka, bt issue sio kutoa kitu juu ya kabati issue ni namna ya kukitoa ngoja nitoe mfano ktk namna ya kufanya mapenzi issue sio kuingiza uume na kutoa issue ni bwebwe nyingine maana tukiongelea kuingia na kutoa kila mtu anafanya hvy bt wale wenye more bwebwe ndo huwa wanawafurahisha wapenzi wao
 
Nimekuulewa kaka, bt issue sio kutoa kitu juu ya kabati issue ni namna ya kukitoa ngoja nitoe mfano ktk namna ya kufanya mapenzi issue sio kuingiza uume na kutoa issue ni bwebwe nyingine maana tukiongelea kuingia na kutoa kila mtu anafanya hvy bt wale wenye more bwebwe ndo huwa wanawafurahisha wapenzi wao
ila lengo si nikukitoa kitu juu ya kabati izooo mbwembwe au njiaa za kukitoa juu ya kabati baadae znaleta faida gani kama nlitumiaa njiaa mbadala na nikaweza kukitoaa iko kitu dada
 
Samahani kama nitakuwa nakosea, kwa upande wangu cpendi kabisa mwanaume mfup nahisi hata maumbile yake ni mafupi pia,
Haupendi uume mfupi kwa sababu una K ndefu na kubwa.Just why unapenda uume mrefu.Kuna wengine pia wanapenda uume wa kawaida usio mrefu wala mfupi,nawengine wanapenda uume mfupi I think niuchaguzi tu.
 
Na wanaume wana vutiwa na wanawake warefu.
 
Nimekuulewa kaka, bt issue sio kutoa kitu juu ya kabati issue ni namna ya kukitoa ngoja nitoe mfano ktk namna ya kufanya mapenzi issue sio kuingiza uume na kutoa issue ni bwebwe nyingine maana tukiongelea kuingia na kutoa kila mtu anafanya hvy bt wale wenye more bwebwe ndo huwa wanawafurahisha wapenzi wao
mimi sio mtoto, nimeoa kitambo sana, na watoto wengi. nimepitia wanawake wengi sana, ni kweli wanawake wengi kabla hawajafika 30 yrs huwa wanasema kama unavyosema wewe, ajabu yake, asilimia 80 ya watu waliokuwa wanaongea kama wewe huangukia kwa
 
Mm Nina urefu wa futi 5 na centimeter kadhaa bado naambiwa mfupi, wanawake wanapenda wanaume warefu
 
Back
Top Bottom