Nafkiri ni ivyo kwa wanaume ambao nimewafaham sijui wengine, tena kama nili
Binafsi me hupenda wanaume warefu cause naendana nao sababu ya mwili wangu ila wengi wao wanavitu kawaida sana au vidogo kabisaa, kama nilie nae sasa ivi tumeanza relation mwaka jana mwishon nimekutana nae kimwili mara 2 tu na cmtaki tena kitu kama mtoto wa daycare jaman haviendan hata na mwili wake cku ya kwanza nikasema labda sicho nachowaza ni kwa vile tu ni mpya maumbile tofauti mara pili nikagundua kitu cha mtoto mdogo na bado mbahili sasa kila akiomba game nampa excuse nan anataka kuchafuliwa na kashaachwa bado kuambiwa tu