Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 2,421
- 3,054
Weka na kapicha tuoneeeMi mbona mfupi ila nna mgegedo mrefu
Weka na kapicha tuoneeeMi mbona mfupi ila nna mgegedo mrefu
....and the list goes on n' on. No ngumu hasa kujua ni urefu gani wanamaanisha.Sio urefu Tu
1. Mrefu nweupe
2.Mrefu msomi
3.Mrefu mwenye hela
4.Mrefu asiye mbahili
5.Mrefu Mweusi
6.Mrefu anayejua kugegeda
7. Mrefu charming
8. Mrefu asiye Na wivu
9. Mrefu...............m
10.
In short Wanawake hawaangaliii jambo moja tu. Uwe mrefu na uboreshe sekta nyingine za maisha yako.
Utaishia kuitwa tall tu
Naona unajipa promotion kama le mutuzPia uhusiano ni mkubwa wa kuwa na uume mrefu, wadada hupenda uume mrefu, i am sooo tallllll, ni kweli kabisa
Haaaaaaaaaa basi niajiri niwe mlinzi mpenzi [emoji12]Hapana siwezi kumuajiri mlinzi. Nikumuajiri mlinzi lazima awe mrefu nayeye. Na akishakuwa mrefu basi anapanda cheo na kuwa mpenzi....
ha ha ha haa
Nimecheka sanaNa wanaume wengu huvutiwa na wanawake wafupi...
Thanks for your appreciationUzuri wa kitu upo kwenye macho ya mtu,ila mi nawakubali wanaume warefu.
Bora useme wewe! Manake huu urefu Sisi hatujaomba jamani!Si kweli
Haaa we akitokea mrefu utachepuka tuu kwa mwendo huoWanaume warefu wanajiamin bwana, vifup kila muda vinajshtukia vina infreriority complex, though i av short one 😉
falsafa hii sidhani kama ina ukweli,mbona sie ma short wanatufuata vilevile wakati hatuna mkwanja wala nini,hawapendi ule u short kama wa emoloWanawake walio wengi huvutiwa na wanaume walio warefu. Achilia mbali vitu kama Mshiko(ATM) nk ambavyo vinachangia lakini huwa wanajisikia fahari kuwa na mwanaume mrefu.
Ngoja nikuchunguze umrefu kiasi gani...Haaaaaaaaaa basi niajiri niwe mlinzi mpenzi [emoji12]
Haaaaaaaaaa huo urefu utauchunguzaje sasa pic sijawkaNgoja nikuchunguze umrefu kiasi gani...
ha ha ha haa
...wadada hao hao,..umri wa kuolewa ukipita hawaangalii urefu/ufupi...Pia uhusiano ni mkubwa wa kuwa na uume mrefu, wadada hupenda uume mrefu, i am sooo tallllll, ni kweli kabisa