Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Naomba muelewe kuwa urefu unaozungumziwa hapo sio kimo bali ni urefu wa pochi yako...naona mnachanganya maada hapa....
 
Ni urefu na ufupi wa futi ngapi unaoongelewa hapa? ingekuwa poa tukawekana wazi jamani
Ila kama ndivyo, basi nawapa pole walio warefu maana wapo kwenye risk sana.
Mfano Emmanuel Mbasha Na Joti..unadhani atachaguliwa Nani..Nyekundu ni nyekundu tu haiwi nyeyupe.Mwanamme mrefu ana Advantage over a short man lakini akijisahau yanamkuta ya kumkuta kwenye mahusiano Kwa kulijua Ilo wengi hujibweteka wakiamini watapendwa tu in turn sasa wanawake wameshtuka Hata akiwa mfupi(ila sio ufupi wa Joti)ilimradi kichwani yupo vizuri Na sio fala mwanamke at Go for him...Hao warefu wamejaa humu JF kuanzisha Uzi wa malalamiko ya kukimbiwa(mwanaume anasifiwa maendeleo siku hizi Na si Urefu)
 
Yes nakubaliana na ww, hakuna raha kama kum hug tall men afu mwanamke awe mfup kidogo ili anyanyue shingo na miguu raha sanaa, bt ku hug wanaume wafup inabid mwanamke ainame ili amfikia even kissing to tall men is romantic compared to short guy

Safiiii safiiii....kula 5.. You spoke the truth from ur inner heart..!!
Am white, 6.5m, but kila nikishuka ktk gari langu, wherever i go, shopping mall...midada mimacho hiyoooooooo... hiyoooo...!!

Utaona sometimes unasalimiwa tu, hi.. hata humjui..!! Hili ni kweli.. Women wanaona wanaume tall wako more secured, confident, romantic naturally and most tall men sio waongeaji sanaaaa, i said most..!! Hata kama wanaongea they argue on important issues..!! But ukiona wanaume wafupi ni maneno mengiii sanaaa.. kujitapaa sanaaa... kujidai sanaaa.. hii ni sbb wana feel less confident, so lazima wajitangaze, na wana maneno mengiii sana... that is bcoz of inferiority complex sbb ya kimo chao..!!
 
Ooh nilidhani mnazungumzia urefu wa pesa kumbe ni urefu wa kimaumbile, bhasi subirini muendelee kuwavutia tu na huo urefu mwisho wa siku mwenye kisu kikali ndo.....
 
Kuna siku nilikuwa nimekaa na washkaji zangu wawil mida ya jion (wote wafupi) akaja bint ambaye wao walikuwa wanamfaham,ila mim sikuwa namfaham, basi akawasalimia kwa kuwapa mkono ila alipofka kwangu nikapewa bonge la hug, wote tuliduwa, wakaanza kmnanga yule demu, akajitetea kimtindo but th fact is bcoz am tall n she became attracted
 
Kuna siku nilikuwa nimekaa na washkaji zangu wawil mida ya jion (wote wafupi) akaja bint ambaye wao walikuwa wanamfaham,ila mim sikuwa namfaham, basi akawasalimia kwa kuwapa mkono ila alipofka kwangu nikapewa bonge la hug, wote tuliduwa, wakaanza kmnanga yule demu, akajitetea kimtindo but th fact is bcoz am tall n she became attracted
Uongoo..... Personality ndo mpango mzima... Nawajuwa ma tall kibao ambao confidence 0%, pia nawajuwa wanaume ambao sio tall lakini confident and wanakubalika sana tu kwa wanawake! Urefu ni bonus tuu aisee
 
Ukiwa mrefu kila nguo inakupendeza ila uwe mrefu mweusi ...pia.ukiwa mrefu hata mkong'osio unakuwa mrefu mpna umechongoka vizuri vile ladies wanapendaga
 
Na ukitaka kujua hili ukitembea na demu wako barabarani.kama.amekamilika lazima atapenda ajilinganishe na wewe urefu
 
Ni urefu na ufupi wa futi ngapi unaoongelewa hapa? ingekuwa poa tukawekana wazi jamani
Ila kama ndivyo, basi nawapa pole walio warefu maana wapo kwenye risk sana.
Mi nadhani kuanzia futi 12 na kuendelea.!
 
duniani hakuna mtu mrefu wala mfupi inategemea huyo mtu kasimama na nani
[HASHTAG]#ova[/HASHTAG]
 
Pia uhusiano ni mkubwa wa kuwa na uume mrefu, wadada hupenda uume mrefu, i am sooo tallllll, ni kweli kabisa
Jokate Mwegelo lazima alikuwa na shughuli ya ziada kumeza hogo la Hashim Thabit
 
Utafiti unaonesha kuwa watu wafupi wana IQ kubwa kuliko warefu.
sidhani kama kweli, ila ninachoamini ni kwamba, watu wafupi ni hardworking zaidi ya warefu, na ndio wengi huwa na mafanikio kuliko warefu. wasomi wengi wale waliofika mbali ni watu wafupi, nilikuwa namtania rafiki yangu mmoja, tumetembelea hospitali moja, kila doctor ninayemwangalia naona mfupi hadi unakuwa hauamini kama ana uwezo kukutibu, lakini ndio hivyo tena, ni doctor. wafanya biashara wa level ya kati walio wengi wale waliofanikiwa sana ni wale wafupi kwasababu huwa wanafanya bidii sana ku compensate ufupi wao na mafanikio ili watu hata kama wamewadharau kwasababu ya ufupi basi wawaheshimu kwa mafanikio/pesa. kitu cha kuwashauri watu wafupi ni kwamba, punguzeni hasira na kujionyesha kuwa mnavyo, na pia punguzeni chuki dhidi ya warefu.
 
Back
Top Bottom