Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

tafuta pesa mkuu achana na hayo mawazo ya watoto wa sekondary
 
Wewe mfupi kwa wamarekani, sisi warefu kwa wabongo,,Churawee
kama tunazungumzia wa huku bongo, inawezekana mimi ni mrefu kwako mbali sana, kwasababu kwa average ya warefu Tanzania, nikipita mtaani na mimi huwa wananiita mtu mrefu. hatuhitaji kubishana kusumbua akili katika hilo. topic closed.
 
Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume walio warefu. Achilia mbali vitu kama Mshiko(ATM) nk ambavyo vinachangia lakini huwa wanajisikia fahari kuwa na mwanaume mrefu.


hakuna kitu wanaume warefu kwanza ni wachovu kitandani wadada wengi wanalalamika ivyooo...alafu wengi wao ni vibamia pia
 
Kwa mtazamo wangu. Mimi binti nikiwa na mwanaume mrefu katika hali ya kawaida tu...simaanishi mrefu ngongoti...hapana anipite mimi kidogo huwa najisikia nina ulinzi ukiachilia mbali hayo mambo mengine.
Lakini nimekuja kugundua ni mitazamo tu. Kile unachodhani unaweza pata kwa mtu mrefu kama ulinzi hata mfupi pia anaweza kukulinda. Usiku mwema.
Wafupi msikasirike. Ukiona mtu anakuponda jua wewe si chaguo lake.
Ulinzi upi unamaanisha, mi nimeelewa ulinzi kwa mfano unavamiwa na majambazi alafu huyo mwanaume mrefu anawafulumua au kitu chochote kinachotaka kukudhuru huyo mwanaume anakidhibiti. Utanikosoa kama sijapatia.
 
Ulinzi upi unamaanisha, mi nimeelewa ulinzi kwa mfano unavamiwa na majambazi alafu huyo mwanaume mrefu anawafulumua au kitu chochote kinachotaka kukudhuru huyo mwanaume anakidhibiti. Utanikosoa kama sijapatia.
hahahahhaahha afadhali umempa za usooo big up
 
Back
Top Bottom