Kuvutia ni one thing na performance ni another. Ila wanaume wafupi wale wafupi kweli kweli wana inferiority ya hali ya juu which to me is a problem. Kuna kaka nafanya naye kazi yaani anajihisi sana. Yaani waweza kuta bosi kamwambia kitu yeye anaona anamwonea na kumdharau na kumchukulia kama mtoto kwa kuwa ni mfupi. Japo asemi anadhalauriwa sababu ya ufupi, but you can tell yeye kutwa ni kujihisi anadharauliwa. Na hii uwafanya wawe na katabia ka kujitutumua ili nao waonekane wana exist.
Ukija kwenye mapenzi that will depend ufupi na urefu unakuwa ni relative term. Waweza kuta bibi na bwana wote wafupi hapo mi sioni tatizo. Ila ukute bibi mrefu bwana mfupi. Mh hawapendezi kabisa kama couple na wanawake wengi niliokutana nao maishani wanaokuwa na wanaume wafupi kuliko wao utakuta wanajiongelesha kuwa ooh mume wangu ana akili ooh ana kazi nzuri, kujustify the choice.