Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Nafanya kazi na jamaa fulani (Betrand kutoka Haiti). Jamaa Ni marefu around 6f 2 na mwembamba. Tukienda nae Club yeye Ni kubadilisha watoto tu. Tatizo lake Hana Stability: Anahama kila siku, anabadilisha wasichana kila siku. Tunapokea mshahara pamoja, lakini Baada ya siku mbili tu anaanza kubomu wenzake. Anafua nguo zake mara chache sana. Mara kwa mara anakuja kazini amelewa. Huwa nashangaa sana alivyoweza kudumu Hapa kazini. Sio rahisi kupata full package, hosusani panapohusu sisi binadamu.

Unaona eenhe!!
 
Wengi wa wafupi naowajua wana vijitabia vya kuudhi...nasikia ni tokana na inferiority...

Wanapenda kujitutumua wajulikane nao wapo...

ni wabishi

wagomvi

sijuhi wenye waume wafupi kama hivi vitabia wanaviendeleza hata majumbani...maana itakuwa shida.

Hahahaa haaaa lol
wabishi haoo!

Proud f mume wangu mtarajiwa mrefu
 
mavumba ndo swara la msingi zingine mbwembwe!
 
mavumba ndo swala la msingi zingine mbwembwe!
 
Mtoa mada acha kusikiliza wanawake. Wanawake wana milango mingi, na hata wenyewe hawajitambuagi kikamilifu. Ukishamgonga ndo anashtuka huyu naye kanipataje?
 
hahahaaa wafupii oyeeee
cheka urefu na ufupi hutakaa ubadilike ila usicheke kilema.............kasema babuuu:frusty:
 
Wengi wa wafupi naowajua wana vijitabia vya kuudhi...nasikia ni tokana na inferiority...

Wanapenda kujitutumua wajulikane nao wapo...

ni wabishi

wagomvi

sijuhi wenye waume wafupi kama hivi vitabia wanaviendeleza hata majumbani...maana itakuwa shida.

Wanakuwa na inferiorite complex hasa wanapokuwa na warefu.
 
DA for real siku hiz apearence z dead n gone........wallet yako mjomba.....uwe mrefu then hauna mawe nan akutake?very few in the world today
 
DA for real siku hiz apearence z dead n gone........wallet yako mjomba.....uwe mrefu then hauna mawe nan akutake?very few in the world today

Wewe kama ni me utakuwa unahonga sana, kwani ma-short ndivyo walivyo, na kama wewe ni ke utakuwa unaongwaga sana!! Samahani hii ni kwa mujibu ya details zako.
 
Wakuu ninayo mada fupi sana, hivi kwa nini wanaume warefu wanapendwa sana na wasichana kuliko wale wafupi?

Yaani mabinti uwaambii kitu kwa wanaume warefu unaweza kudhania wana bahati sana lakini sio kwa wafupi. wale wataalam wa mambo ya mahusiano watujuze kwa kina.
 
wakuu ninayo mada fupi sana, hivi kwa nini wanaume warefu wanapendwa sana na wasichana kuliko wale wafupi? yaani mabinti uwaambii kitu kwa wanaume warefu unaweza kudhania wana bahati sana lakini sio kwa wafupi. wale wataalam wa mambo ya mahusiano watujuze kwa kina.

Mrefu ANAIFIKISHA Kunako Wakati Mfupi ANAHANGAIKA Nayo Kuichomeka. Ze Biga Ze Saizi Ze Biga Ze Nanihii Na Kinyume Chake.
 
wakuu ninayo mada fupi sana, hivi kwa nini wanaume warefu wanapendwa sana na wasichana kuliko wale wafupi? yaani mabinti uwaambii kitu kwa wanaume warefu unaweza kudhania wana bahati sana lakini sio kwa wafupi. wale wataalam wa mambo ya mahusiano watujuze kwa kina.
Vipi wewe unapenda mwanaume mrefu au mfupi mnene na kitambi cha chini.


swissme
 
wakuu ninayo mada fupi sana, hivi kwa nini wanaume warefu wanapendwa sana na wasichana kuliko wale wafupi? yaani mabinti uwaambii kitu kwa wanaume warefu unaweza kudhania wana bahati sana lakini sio kwa wafupi. wale wataalam wa mambo ya mahusiano watujuze kwa kina.

Wewe ndo umenanii na mrefu
 
Wanawake wanataka security kwahiyo wakiwa na wanaume warefu kupita wao wanafeel secured
 
Back
Top Bottom