Wanawake walikuwa zamani

Wanawake walikuwa zamani

Mkuu umeua kabisaaaaa! mtu anapigwa anajiuliza kwa lipi? Alafu kazi ya kumtunza mke ilikua ya mwanaume sasa wasikuhizi wabahiri sjui wabinafsi.Mwanaume usipomuhudumia mkeo usitarajie utii.Mungu aliwapa uongozi sasa nyie mwataka heshima bila majukumu.

Wanawake wa zamani walikuwa wanatunza familia wenyewe.
 
Wanaume wa zamani hawakua mashoga kama wa siku hiziiiii wanaume wachacheee jamaniiii

hii ni vita sasa, ila sijashangaa ndo wanawake wa siku hizi mwanaume akiongea naye anajibu ndo huyu Dinazarde.
 
Last edited by a moderator:
Zamani ni zamani tu wanaume walikuwa wanaonea wanawake wanapga kimya tofauti na sasa mwenyewe huwezi nionea nipga nikuache imposible

ndo maana hata kuolewa imekuwa tabu sana na ukiolewa ndoa haichukui muda chali.
 
Wanaume walikuwa enzi hizo walijua majukumu yao ...decision making..kuwafikisha wake zao

Wanaume wa siku hizi chipsi yai...kulia lia tu hawana hela za kuhonga..

wa siku hizi hata uwahonge vipi bado watatamani nje, tamaa sana wanawake wa siku hizi, hawaridhiki.
 
Sikuwahi kuona babu yangu akiongea jambo la kumkwaza mkewe mbele ya watoto,ila wanaume wa sasa unatoka huko hujali chochote unaanza kuporomosha maneno kwa mkeo,.unafikiri kutakua na ustahamilivu hapo?
Wanawake zaman unamkuta anamiaka 28 lakin bado bikra anaitunza heshima ya mumewe mtarajiwa lakin sasa hivi unakutana na cave, mwanamke zaman ilikuwa mwiko kujibizana na mume wake mbele ya watoto hata akipigwa akiona watoto wamekuja anajifuta lakn sasa hvi duu!
Wanaume wa zaman halikuwepo suala la kumfumania mkewe alikuwa ni aibu kwa mwanaume ndio maana baba kama anarudi nyumban usk alikuwa anaanzia mbali kuimba ili kama kuna mwiz akimbia
 
zamani walikuwa na hela za kuhonga?

Walikuwa wanatoa cos walijua ni jukumu lao kutake care ya mkewe now days ukiomba hela atakutangaza mtaa mzima eti umemfanya buzi or ATM card
 
Wanawake wa zamani walikuwa wanatunza familia wenyewe.

kweli mkuu, ila mwanaume ilikuwa anatoa mashamba na ng'ombe wa kulima na kumjengea nyumba wmanamke na watoto wake.
 
utandawazi ndo chanzo cha mabadiliko kwa wanawake wa leo.
 
Sikuwahi kuona babu yangu akiongea jambo la kumkwaza mkewe mbele ya watoto,ila wanaume wa sasa unatoka huko hujali chochote unaanza kuporomosha maneno kwa mkeo,.unafikiri kutakua na ustahamilivu hapo?

wanawake zaman unamtongoza mwez mzima na bado anakuzungusha lakin sasa hvi mnafahamiana hapohapo na anakuvulia nguo hapo hapo tena bila hata ya kutongoza
 
Mkuu kweli wanawake walikuwa zamani, siku hizi unapata mchumba siku ya pili tu anaanza mizinga ya ajabu ajabu mara vocha, hela ya saloon, sijui mchango wa birthday bila kuregard mtu una uwezo gani kiuchumi.. Yani wanaboa sana.
 
Unampiga mkeo halafu unajiita mwanaume?????

Kama una nguvu sana si ukapigane na wanaume wenzio? Au kachukue jembe ukalime?
 
wanawake zaman unamtongoza mwez mzima na bado anakuzungusha lakin sasa hvi mnafahamiana hapohapo na anakuvulia nguo hapo hapo tena bila hata ya kutongoza

Zamani unatongoza mwaka mzima kupewa game mpaka miezi au mpaka uvizie mtoni ameenda kuchota maji upige ka fasta tena amesimama ila wa siku hizi unatongoza asubuhi mchana anakuja mwenyewe gheto mimi nawaita maharage ya Mbeyamaji kikombe kimoja.
 
Mkuu kweli wanawake walikuwa zamani, siku hizi unapata mchumba siku ya pili tu anaanza mizinga ya ajabu ajabu mara vocha, hela ya saloon, sijui mchango wa birthday bila kuregard mtu una uwezo gani kiuchumi.. Yani wanaboa sana.

Wanakera sana Mkuu.
 
Enzi zile mwanamke amepigwa na mumewe analia, akisikia tu hodii hodiii haraka sana anajifuta machozi na kuanza kucheka, wa siku hizi mbona ataenda kulilia kwa jirani ili dunia nzima ijue kapigwa au huyooo mahakamani. Hebu sasa tutumie uzi huu kutaja matendo ya wamama wa zamani ya kishujaa kama hili nililolitaja ili hawa watoto wa siku hizi kina miss neddy, DEMBA, mama la mama, miss chagga na wengine wajifunze.

Haki sawa hujasikia siku hizi midume ndo inadundwa ingawa ni kimya2 sana.
 
Last edited by a moderator:
Unampiga mkeo halafu unajiita mwanaume?????

Kama una nguvu sana si ukapigane na wanaume wenzio? Au kachukue jembe ukalime?

Anapigwa bila sababu wanawake wa zamani huwezi mkuta anajibizana hovyo hovyo na mmewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom