HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,268
- 103,446
kumekuwa na tabia hii ya ajabu lakini ipo nguvu nyuma yake inayochochea haya wadadawa kikristo wamekuwa wakiolewa sana na wakaka wasio wakristo mwisho wa siku wengi wao si mzuri hii tabia inakua kwa kasi sana si tabia nzuri ni heri kuvumilia kuliko kuchanganya imani watoto huangaishwa sana na pia haipendez.
Mimi sitaoa mtu ambae hatuendani kiimani