Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

kumekuwa na tabia hii ya ajabu lakini ipo nguvu nyuma yake inayochochea haya wadadawa kikristo wamekuwa wakiolewa sana na wakaka wasio wakristo mwisho wa siku wengi wao si mzuri hii tabia inakua kwa kasi sana si tabia nzuri ni heri kuvumilia kuliko kuchanganya imani watoto huangaishwa sana na pia haipendez.

Mimi sitaoa mtu ambae hatuendani kiimani
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?
Mkuu si ana deposit bank??
 
Hii mambo ipo sana katika ndoa na inauma sana. Ndio kipato cha mke kisitumike kuhudumia familia lakini kiustaarab,basi kijulikane kinakweda wapi au anakitimiaje. Cha muhimu hapo mkuu anza kujipanga kivyako ktk kufanya maendeleo yako binafsi bila kumshirikisha. Mf Kama unauwezo wa kununua kiwanja,shamba au nyumba, nunua kwa siri bila mke wako kujua la siivyo baadae utakuja kujuta.
 
Ila lakini kiuhalisia na utamaduni wetu nani anahudumia familia,.
Halafu hapo chini umesema anataka atengeneze lotion yake?


Huyu mwanamke alitaka mtu wa kumtumia ili asevu hela zake zifikie kiwango anachotaka yeye. Mipango yake ikikamilika tu ataanza kumfanyia jamaa vituko ili apewe talaka na kuishi na mshua wake wa siku nyingi. Huu mchezo nimeshaona mwisho wake, ni kama sinema za kihindi; stering hauwawi ila anaua kisailensa.
 
kula like zangu kibao.
Kaa chini umchunguze vizuri
wengi wanawake dizaini hii ni wale ambao walishawahi kumpenda mwanaume
mpaka ikafikia kumuamini kwenye mambo ya fedha kama vile kumnunulia nguo
na hata kumkabidhi ATM lakini mwishowe akaishia kusalitiwa.wanawake wa
aina hii huwa wagumu sana kumwamini mwanaume kwenye maswala ya
pesa
 
Kijana msapwata Wacha woga wa MAISHA kulilia Pesa ya MKEO. Wewe Cndo ulienda kwao kupeleka POSA au yy ndo alikuja kwenu,,,!!?? Vijana wa cku hizi mnatuaibisha kaka zenu...!! Itakuwaje cku aje hom na jiBABA akwambie huyu ndo ananipa PESA unazotaka nawee nikupe utafanyaje? Achana nahayo mambo pambana utunze MKEO...!
 
Last edited by a moderator:
Ila lakini kiuhalisia na utamaduni wetu nani anahudumia familia,.
Halafu hapo chini umesema anataka atengeneze lotion yake?

Kwa ndoa za kikristu mnaambiwa Kuwa nyie ni kitu kimoja.Hivyo Mapato na matumizi ndani ya Nyumba inabidi hisiwe siri.Ila kwa wanawake watumishi wengi wao wanatabia hizi.ila akipatwa na tatizo kazini ndio nidhamu itaanza kuonekana.
 
Wanaendekezwa na waliowaoa!!!!

Wala si kuendekezwa,huyu alioa kazi akitegemea asaidiwe ulezi wa familia sasa wife kakaza anakuja kulia lia hapa.
Msikimbie majukumu yenu tafadhali,kama mkeo anajua income yako na anaona unavyokimbia kimbia ili familia isonge atasaidia bila hata kuambiwa ila uki invest kwa michepuko na starehe utasubiri sana na utasambaza thread majukwaa yote!!!
 
Wala si kuendekezwa,huyu alioa kazi akitegemea asaidiwe ulezi wa familia sasa wife kakaza anakuja kulia lia hapa.
Msikimbie majukumu yenu tafadhali,kama mkeo anajua income yako na anaona unavyokimbia kimbia ili familia isonge atasaidia bila hata kuambiwa ila uki invest kwa michepuko na starehe utasubiri sana na utasambaza thread majukwaa yote!!!

I hope ulijibu ukiwa hujamaliza kusoma hii thread!!!!!
Ila nakazia tena kuwa mwanamke asiyechangia katika familia wakati kuna uhitaji wa kufanya hivyo ni kuwa mumewe anamuendekeza...................period!!!!!
 
I hope ulijibu ukiwa hujamaliza kusoma hii thread!!!!!
Ila nakazia tena kuwa mwanamke asiyechangia katika familia wakati kuna uhitaji wa kufanya hivyo ni kuwa mumewe anamuendekeza...................period!!!!!

Hapo kwenye uhitaji ndio tatizo linapoanzia!
 
Sasa kuna haja gani ya kukubali kuolewa wakati anaishi kwa hofu namna hiyo, si bora angejifanyia hayo maendeleo akiwa peke yake

Pointi.
Kama ndoa haziaminiki (wanaume hatuaminiki) basi hana haja ya kuolewa.
 
habari wa jf.
Miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
Katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
Lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! Naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

yaaanii nilivyosoma tu aina ya ndoa uluyofunga najiuliza uzi huu ni wa nini babraza banateseka


si tunaruhusiwa nne vuta ya pili mpwa ila bada y ramadhan ..wenyekulalamika hivi waje wakristo sisi wala usiumizenao kichwa mpwa hao
 
si una mshenga mkuu. Ungeanza kupata ushauri toka kwake kwanza kuliko mitandaoni.

Ayaaaakuolewaaa utarudiii nyumbaniii kutembeaaaaa

Huyo wako mpwa wee Ukiona vipi sogeza mwingine akikisha awe anatoa cash..

uogawangu wengi kwenye uchumba mkiwa rosegarden..breakpoint ukitoa hela anajifanya ntalipia soda ukiweka ndani hata maji halipii loh
 
kosa lako hukuwa muwazi kabla hujamuoa, ungeweka wazi kilakitu angekuja anajua mnagawanaje majukumu, unavowaza wewe usifikiri na mwenzio, ni viumbe Wa ajabu hao mungu katujulisha na ndie aliewaumba!
 
hapo kwenye nyekundu ndipo palipokuponza.

kabla ya kuoana mlipanga namna mtakavyoishi? jinsi mtakavyochangia kiuchumi?

au ulivyoona mwanamke ni mtafutaji ukajua umepata mteremko?

pia kumbuka mwanaume ndio kichwa cha nyumba..... kabla ya kuoa ulipaswa ujue jinsi utakavyoitunza familia na kipato cha mke kiwe ni nyongeza tu.

cha kufanya ni kupambana kama mwanaume utunze familia. huku ukimsihi na kumwelekeza mkeo achangie hata umem maji wafanyakazi nk

next time haya ni mambo ya kujipanga kabla ndoa



habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

....hapo kwenye kijani, kama ulimuoa upate mtelezo muache...
 
Hapo kwenye uhitaji ndio tatizo linapoanzia!

Uhitaji ndani ya familia nalo ni jambo la kuambiwa au mpaka alarm iite???????

Maisha ni kujiongeza tu kama kuna uhitaji kwa mfano tunajenga na umeona wanaezeka, plumbing, wiring, grills zinawekwa na fensi inajengwa hapo unategemea nikuambie kuwa kama unaweza take care ya vitu vya home!!!!???????

Maisha kusomana tu na mwenzio unamjua ndani nje ndio maana nikamwambia kuna stage zikifikia ni bora kuacha jumla mapema kuliko kuishi kwa matumaini
 
Uhitaji ndani ya familia nalo ni jambo la kuambiwa au mpaka alarm iite???????

Maisha ni kujiongeza tu kama kuna uhitaji kwa mfano tunajenga na umeona wanaezeka, plumbing, wiring, grills zinawekwa na fensi inajengwa hapo unategemea nikuambie kuwa kama unaweza take care ya vitu vya home!!!!???????

Maisha kusomana tu na mwenzio unamjua ndani nje ndio maana nikamwambia kuna stage zikifikia ni bora kuacha jumla mapema kuliko kuishi kwa matumaini

Hayo yanaonekana na huhitaji kuambiwa usaidie.
Tatizo ni pale mtu anatoka daily anaenda job ila kila siku analia lia tu kuwa hana pesa kuanzia Jan 1 mpaka Dec 30 na anachofanya cha maana hakuna,Wallah huyu simsaidii labda akae tu nyumbani nijue hajiwezi katika kutafuta anisaidie kupunguza budget ya mshahara wa msichana mie nisimamie show yote yeye akuze kitambi tu!
 
Kabla ya kuoana mlipanga jinsi ya kulea familia na mgawanyo wa majukumu? Kama hukupanga asili inachukua mkondo wake Baba unalisha familia, au ulioa mfanyakazi upate mteremko? Ungepanga ungekuwa umeoa ambae angekubali hiyo 50-50 na usingepata tabu! Yote kwa ujumla ulishndwa au mlishindwa kupanga usimlaumu hata kidogo. "WANAUME TUMEUMBWA MATESOO, KUHANGAIAKA" mbona nyimbo maarufu sana hii, msapwata
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom