jisanja
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,075
- 684
Unaoa ili usaidiwe? Haahaaahaahaaa, teh teh teh teh teh teh kwi kwi kwi kwi kwi, kwani ulioa na mshahara wake? Ulimsomesha?
Haaaaa Haaaaaa Haaaaaaa umenichekesha sana
Unaoa ili usaidiwe? Haahaaahaahaaa, teh teh teh teh teh teh kwi kwi kwi kwi kwi, kwani ulioa na mshahara wake? Ulimsomesha?
kumekuwa na tabia hii ya ajabu lakini ipo nguvu nyuma yake inayochochea haya wadadawa kikristo wamekuwa wakiolewa sana na wakaka wasio wakristo mwisho wa siku wengi wao si mzuri hii tabia inakua kwa kasi sana si tabia nzuri ni heri kuvumilia kuliko kuchanganya imani watoto huangaishwa sana na pia haipendez.
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha, ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?
Yawezekana wanawake waliowengi akilizao nikama zahuyu mmama.Kweli jukumu lakutunza familia nilamwanaume ila kama mnafanya kazi wote majukumu mnagawana
mfano mwanaume mambo muhimu kama kulipa bill zote kusomesha chili nijukumu lako mahitaji ya ndani yawe ya mama kama kununua mboga nyanya vyakula kwa ujumla ingawa nawewe baba waweza saidia kiasi.
Kama hataki Fanya njia moja nunua unga 50 kg maharage 20kg Nguo mnunulie Mara m bili kwa mwaka mahitaji muhimu sana mtimizie baada ya hapo fedha yako Fanya maendeleo tena hatakiwi kuhusika kwakuwa haimuhusi kinachomuhusu yeye nikutunza tuu
Ulikosea tangu mwanzo sasa ndo unajuta.hawa inatakiwa uwabane mapema ukichelewa ndo haya yanayokukuta sasa.na ww goma kutoa zako.
Mkuu hivi unajua maana ya baba wa familia???
Hata bible inasema Mwanamme atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu.....Hebu msikimbie majukumu yenu....
Mtunze mkeo....yaan mwanamke anavohakikisha ww unakula Unalala.....watt wanaenda shule ....afanye kila kitu....n zaid ya uto tuhela twako twa matumizi Sema hua wanavumilia na ndo maana mama atabaki kua mama tuuu no one like her!!
Why? Sasa angetaka kujua siangeshaniuliza kama jamaa yetu hapa
Shukrani dada wa mimi!!!!!
Mi nadhani kuna baadhi ya wanaume wanachukulia wanawake for granted na hapa ndio kuna tatizo, mtu asomeshwe na wazazi wake na kukesha elimu ilivyo ngumu eti ukimuoa tu kila kitu kiwe chini yako???!!!
Yaani kama msukule tu ye awe fuata upepo!!!!????
Tulipoambiwa wanaume tuwe viongozi ni pamoja na "financial discipline" kuanzia utafutaji mpaka matumizi!!!!!!
Mtu ana account zaid ya moja lakini mkewe hana hata kujua moja wala mbili kuhusu zote yaani ukiumwa ndio muanze kuambiana password uko kwenye machela njiani kwenda chumba cha upasuaji aibu gani hiii????!!!!
Kama serikali tu inaingia PPP we mkeo ndani hajui hata salary slip yako ikoje????!!!
Halafu unataka kukodoa macho juu ya kipato chake, ubinafsi sana huu!!!!!
Mke ni rafiki, partner, mpenzi wako wa kufa na kuzikana kaeni pigeni story mbona waelewa sana tu wanawake kama na wewe mwenyewe unasomeka!!!!!
Umetishaaaaa .......... hivi hakuna nafasi huko hata ya mke wa sita kaka Olesaidimu???? Mwanaume wa hivi ni diamond trust me!
moja ya vigezo vya mke nilivyo vizingatia ni kazi na kipatochangu ni chetu na chakwake ni chetu. nashuru alifuzu jaribio hilo, hadi sasa mwaka 10 swala la mapato na matumizi sio siri kwetu. nawashauri msilewe na mapenzi ya awali, unavomwanaza ndivo anavoamini maisha yenu. poleni wahanga.
Duunh mie huyu????!!!
Nna maboko yangu labda ukiyasikia hutotaka hata kuniona sura!!!
Hahahaaa hayo yanavumilika mbona???
Ha ha haaaa wengine tukikasirika tunahamia hoteli kabisa! !!!
Ha ha haaaa wengine tukikasirika tunahamia hoteli kabisa! !!!
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?
Anayefurahia ndoa siku zote ni mwanamke, furaha ya mwanamme timamu hukoma pindi anafunga pingu za maisha yaani ndoa na furaha ya mwanamke huanza pindi anapoolewa. Ndio maana wanaume wengi wanaogopa ndoa wakati kwa wanawake wanapenda ndoa.
Siku zote amini usiamini kipato cha mwanamke ni chake ila chako ni cha wote, hata mwanamke akikuzidi mshahara lakini bado atakuomba hadi hela ya kiberiti.
Mbona siyo tatizo? Si zikiisha unarudi? Napenda mwanaume kiongozi meaning anajua yeye ni kiongozi na my hero!
Kwanza kabla hujaenda hotel mi faster nshaomba sorry ya vitendo!.... Huendi ng'ooo au twaenda wote!
Mkuu mi huwa napanga safar gafla hata ya siku mbili?