Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

Kwani ndoa maana yake ni nini? Na umeshajiuliza kwanini ndoa inapovunjika mara nyingi huwa kunatokea kugawana kwa mali iliyochumwa kipindi hicho
Hapo nimetoa sababu ya wanawake kufanya hivyo,ukitaka tuanze mada ya maana ya ndoa na matrimonial properties tutakua tunaenda nje ya mada.
 
Wewe unataka pesa zenu mtumie sawa na uchungu wa kuzaa mtasikia wote??mwanaume jukumu lako kutunza familia.mkeo akijishughulisha ni pesa zake.pesa zako zenu wote.wanaume mkitaka pindisha hili ndoa zenu zitayumba.
 
Ndo mana kipindi cha uchumba mke wangu nilimsoesha kushea garama za out.analipia food and refreshments,mimi nalipia usafiri na loji.sasa utamaduni umekuwa hivo mpaka leo,nampa tafu kwny miradi yake ananisaidia mpaka kodi,kutwa kumtumia zawadi mama'angu

Mkeo hajiamini huyo..yani mtoto wa kike mzima out unamnunulia kijana drinks.au hana mvuto??
 
yaani wewe mwana umenifurahisha umemaliza yote niliyotaaka kusema hapa kwani hata mm nawashangaa sana wanaume UNAMUOA MWANAMKE HALISIA AU KILE ALICHONACHO TU (PESA) ?
Ni kweli jukumu la kulisha mke ni lako tatizo we ulimuoa kwa kuangalia kazi na mshahara wake.
Anavyofanya ni sawa wanaume mna matatizo ,wanawake wengi wamefanya maendeleo na wanaume wameishiwa kuumizwa ndio maana wanawake wamekuwa makini siku hizi.
Halafu wanaume sikuhizi nani kawaloga mtu anaoa kazi ya mwanamke na mwanamke mwenyewe.
Aendelee hivyo hivyo ningekuwa namfahamu ningemshauri kama akitoa atoe hela yake kama akitaka kununua nyama,sahani au nguo bali cement/mabati no kama huwezi shauri yako.
 
Back
Top Bottom