Ni kweli jukumu la kulisha mke ni lako tatizo we ulimuoa kwa kuangalia kazi na mshahara wake.
Anavyofanya ni sawa wanaume mna matatizo ,wanawake wengi wamefanya maendeleo na wanaume wameishiwa kuumizwa ndio maana wanawake wamekuwa makini siku hizi.
Halafu wanaume sikuhizi nani kawaloga mtu anaoa kazi ya mwanamke na mwanamke mwenyewe.
Aendelee hivyo hivyo ningekuwa namfahamu ningemshauri kama akitoa atoe hela yake kama akitaka kununua nyama,sahani au nguo bali cement/mabati no kama huwezi shauri yako.