Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

Kingine malezi, kama mtu amekua mama anaficha/hatumii mali kwa familia, ni rahisi na yeye kuwa hivyo.

Pia kuaminishwa kulea/hudumia familia ni jukumu la baba peke yake. Hawezi kubali kushare cost, anaona unamuonea sanq.
 
kasome sheria ya ndoa. anajua kuwa ww ukifa watu wanarithi hizo mali fasta yeye anaanza moja. ila yeye akifa hakuna atakaye waza kuhusu mirathi. sasa bora ajiwekee akiba maana haijui siku wala saa wala atakayetangulia.
 
kasome sheria ya ndoa. anajua kuwa ww ukifa watu wanarithi hizo mali fasta yeye anaanza moja. ila yeye akifa hakuna atakaye waza kuhusu mirathi. sasa bora ajiwekee akiba maana haijui siku wala saa wala atakayetangulia.

Sasa mtu mwenye mawazo kama haya unaoa wa nini....!!!!?????
Maisha ni leo na wanaokuzunguka mambo ya nani atakufa sijui nini si mna watoto na will zipo.....!!!!!?????

Mtu anayewaza akifa mali zitakuwaje ana asili ya uchoyo tu hamna zaidi
 
Habari wa JF,

Miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.

Katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na ana akili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.

Lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.Pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.

Nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?Anasema jukumu la kumlisha ni langu.Sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!!

Naombeni mchango wenu,nini nifanye au nimuache?

wanawake wengi hawaelew maana ya ndoa
 
He he he, kumbe watu wanaishi ndoani wakiwazia kifo?

Sasa mtu mwenye mawazo kama haya unaoa wa nini....!!!!?????
Maisha ni leo na wanaokuzunguka mambo ya nani atakufa sijui nini si mna watoto na will zipo.....!!!!!?????

Mtu anayewaza akifa mali zitakuwaje ana asili ya uchoyo tu hamna zaidi
 
Elimu yenu na kazi zenu? Huenda mama no mfagizi na baba ni meneja. Sasa mshahara wa ufagizi unautaka wa nini? Au majukumu home kwao usikute huyo binti kasomeshwa na kijiji sasa msululu unaosubiria hiyo salary aka salale ni hatariiii
 
Ni imani tu zilizopitwa na wakati na hyo bidada, maisha hayaendi hivyo kamweeeee, so yeye anaisi jukumu lake ni kutoa papuchi tu.!!??? embu fikiria kodi ya nyumba, maji, umeme, ada za shule, misosi etc vyote afanye baba pekee wakati mama pia anakipato sidhani kama ni vizuri, ushauri wangu kaa nae uzungumze nae ni kwa jinsi gani anapaswa kusupport family yenu na si kila kitu akuachie wewe,
 
Ktk ndoa ya kikristu mme namke wameunganishwa nao wamekuwa mwili mmoja...hivyo pato la nyumbani ni pato la familia hakuna changu wala chako...

ukiona mwenzako anaficha pato lake huyo ni mbinafsi, kumbadilisha ufanye kazi ya ziada..

Mimi ktk ndoa yangu bajeti hupangwa kutokana na pato letu...sie wote ni waajiriwa mshahara unafahamika kwa kila mtu..mfano jumla ya mshahara ni milioni moja so matumizi yanapangwa based on that...namaisha yanasonga tuna amani na furaha

akili za kuambiwa changanya na zako...
 
He he he, kumbe watu wanaishi ndoani wakiwazia kifo?

Yaaaani hovyo sana kabisa mnoooo...............badala ya kuwaza watoto unawaachaje, legacy kwa familia na mema yatayokufaa huko mbele ya safari mtu anawaza akifa nani atachukua gari sijui labda anawazia mpaka viwalo na pafyumu.......huyu wa nini sasa!!!!!????
 
Simple sana hiyo! Wewe endelea kumlisha, kumvisha na kuhhudumia kila kitu, ila hakikisha unajua balance ya akaunti yake! Ukiona inazidi limit flan tafuta emegency uitumie, akikaa na hela nyingi atavimba kichwa na ataanza dharau! SO wewe kuwa mtu wa kuhumia kila kitu yeye awe mtu wa kusolve emegency, hakikisha emegency zinakuwa za ukweli kukwangua akaunti yake kbs!
 
kama hataki kuchangia maendeleo basi akae nyubani alee watoto. sio tunatoka wote tunarudi jion mwisho wa mwezi alichokifanya hakionekani, na bado unaendelea kulipa housegirl.
 
Ndo mana kipindi cha uchumba mke wangu nilimsoesha kushea garama za out.analipia food and refreshments,mimi nalipia usafiri na loji.sasa utamaduni umekuwa hivo mpaka leo,nampa tafu kwny miradi yake ananisaidia mpaka kodi,kutwa kumtumia zawadi mama'angu
 
Dah kwa kweli wanawake wanahitaji subira...au utakuwa unaowa na kuacha kila siku...99.9% wote same factory.
 
Da! kwa issue kama hizi tunatofautiana mm wakwangu anatoa ila siku hiyo akitoa pesa basi ananuna na hana amani kabisa. I la mungu akijalia mambo yakikaa sawa sitampa nafasi ya kutoa pesa yake ili amani yake isipotee coz sipendi kumuona akinuna.
 
Habari wa JF,

Miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.

Katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na ana akili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.

Lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.Pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.

Nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?Anasema jukumu la kumlisha ni langu.Sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!!

Naombeni mchango wenu,nini nifanye au nimuache?

Kuna tatizo kubwa hapo. Hata kama hela yake ifanye kazi kulingana na udogo wake. Hamna kitu kama zake ni zake zangu ni zetu. Huo ujima ulishakwisha siku nyingi
 
Huyo mke ni mzigo anashindwa hata kununua vitu sokoni inamaana hata hela ya nyanya anakuomba ?
 
Ni kweli jukumu la kulisha mke ni lako tatizo we ulimuoa kwa kuangalia kazi na mshahara wake.
Anavyofanya ni sawa wanaume mna matatizo ,wanawake wengi wamefanya maendeleo na wanaume wameishiwa kuumizwa ndio maana wanawake wamekuwa makini siku hizi.
Halafu wanaume sikuhizi nani kawaloga mtu anaoa kazi ya mwanamke na mwanamke mwenyewe.
Aendelee hivyo hivyo ningekuwa namfahamu ningemshauri kama akitoa atoe hela yake kama akitaka kununua nyama,sahani au nguo bali cement/mabati no kama huwezi shauri yako.

Upuuzi huu ulioandika mkuu au hukufikiria kabla ya kupost?
 
Back
Top Bottom