Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

Wanawake wafanyakazi ndivyo walivyo katika ndoa?

Yawezekana wanawake waliowengi akilizao nikama zahuyu mmama.Kweli jukumu lakutunza familia nilamwanaume ila kama mnafanya kazi wote majukumu mnagawana
mfano mwanaume mambo muhimu kama kulipa bill zote kusomesha chili nijukumu lako mahitaji ya ndani yawe ya mama kama kununua mboga nyanya vyakula kwa ujumla ingawa nawewe baba waweza saidia kiasi.
Kama hataki Fanya njia moja nunua unga 50 kg maharage 20kg Nguo mnunulie Mara m bili kwa mwaka mahitaji muhimu sana mtimizie baada ya hapo fedha yako Fanya maendeleo tena hatakiwi kuhusika kwakuwa haimuhusi kinachomuhusu yeye nikutunza tuu
 
Ndoa ina stages pia kama vitu vingine hapo sasa unaelekea kukomaa na ndoa yako!!!

Kama pesa yako inaonekana inaenda wapi hakika mkeo wa ndoa mliooana kwa mapenzi bila shuruti hawezi kushindwa kukusaidia!!!!

Ila kama yako unabana na yake hata harufu hutosikia, by the way majukumu yako ni pamoja na kumtunza we senti zake unataka za nini????!!!

Nunua kiwanja au fungua biashara mkubaliane we unakomaa na projects ye akusaidie mambo ya hapo ndani na aone hela yako inafanya kazi kweli lakini sio ujanja ujanja @work.

Akizingua na hapo usiitishe hata kikao we timua tu na hutojuta

Mmmmh ......... yaani uko vichwani mwetu kabisaa! Ahsante kaka kwa kuiweka sawa hii kitu!
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?
kwa nini umeanza kwa kuandika...mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam. ulitaka tuelewe nini ktk hilo tatizo na uislam?
 
Yawezekana wanawake waliowengi akilizao nikama zahuyu mmama.Kweli jukumu lakutunza familia nilamwanaume ila kama mnafanya kazi wote majukumu mnagawana
mfano mwanaume mambo muhimu kama kulipa bill zote kusomesha chili nijukumu lako mahitaji ya ndani yawe ya mama kama kununua mboga nyanya vyakula kwa ujumla ingawa nawewe baba waweza saidia kiasi.
Kama hataki Fanya njia moja nunua unga 50 kg maharage 20kg Nguo mnunulie Mara m bili kwa mwaka mahitaji muhimu sana mtimizie baada ya hapo fedha yako Fanya maendeleo tena hatakiwi kuhusika kwakuwa haimuhusi kinachomuhusu yeye nikutunza tuu

Too harsh bhana angalia ushauri wa Olesaidimu!
 
Kaa chini umchunguze vizuri wengi wanawake dizaini hii ni wale ambao walishawahi kumpenda mwanaume mpaka ikafikia kumuamini kwenye mambo ya fedha kama vile kumnunulia nguo na hata kumkabidhi ATM lakini mwishowe akaishia kusalitiwa.wanawake wa aina hii huwa wagumu sana kumwamini mwanaume kwenye maswala ya pesa

Ni kweli kabisa!
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

Wewe Mwanaume fungua macho uone na wanaume aina yako ndo ambao huchukuliwa wake zao.Utapangaje Mipango yako ya kimaisha kwa kutegemea kipato cha mke wako? ,
Hujui kwamba mshahara wa mke ni kwa ajili ya kununua nyembe na shanga tu za kumpendezesha mume?
 
Yani hilo tu ndo umuache mkeo? Jamani mbona pole yakehuyo bibie, kwani we kaz yako nn? Mkeo ni jukumu lako kipato chake yy ni ziada isiyo kuhusu unless mkubaliane na yy aridhie. Me mme wangu hata hajui napata sh. ngapi na hajawah kuniuliza and we are happy

Hapo mwisho inatakiwa kuwa "I am happy"
 
Fuata Formula Hii:1.MPE MIMBA 5 AT AN INTERVAL OF 1 AND HALF.2.AKICHOKA OA MWINGINE !EACH MUSLIM MAN PER 8 WOMEN.RELAX..
 
habari wa JF.
miezi sita iliyopita nilibahatika kuoa mwanamke mmoja wa kiislam ambapo tulifunga ndoa ya kiislam.
katika mahusiano ya uchumba nilimuona ni muwazi na anaakili za kimaendeleo ndipo nikatangaza ndoa.
lakini tangu nifunge naye ndoa sijawahi kuona hata shilingi tano yake.pia hajawahi kutoa katika benki hata shilingi yeye ana deposit tu.nikijaribu kumuuliza yeye atatumia fedha zake kwa matumizi gani?anasema jukumu la kumlisha ni langu.sawa sikatai je fedha yeye ataweka wapi ?au atajenga lotion bila mimi kujua!!! naombeni mchango wenu.nini nifanye?au nimuache?

Usitegemee kupunguza gharama za maisha kwa mshahara wa mwanamke we piga kaz upate hela na mpe huduma zote km kawaida, mwanamke akishaona huna shida na hela zake yeye mwenyewe atajipendekeza kuileta! wanaume tumeumbwa kukomaa.
 
"chako ni cha wote,na chake ni chake"kuwa na amani hiyo ndiyo kanuni ya ndoa na mfanyakazi mke
 
Mmmmh ......... yaani uko vichwani mwetu kabisaa! Ahsante kaka kwa kuiweka sawa hii kitu!

Shukrani dada wa mimi!!!!!
Mi nadhani kuna baadhi ya wanaume wanachukulia wanawake for granted na hapa ndio kuna tatizo, mtu asomeshwe na wazazi wake na kukesha elimu ilivyo ngumu eti ukimuoa tu kila kitu kiwe chini yako???!!!

Yaani kama msukule tu ye awe fuata upepo!!!!????

Tulipoambiwa wanaume tuwe viongozi ni pamoja na "financial discipline" kuanzia utafutaji mpaka matumizi!!!!!!

Mtu ana account zaid ya moja lakini mkewe hana hata kujua moja wala mbili kuhusu zote yaani ukiumwa ndio muanze kuambiana password uko kwenye machela njiani kwenda chumba cha upasuaji aibu gani hiii????!!!!

Kama serikali tu inaingia PPP we mkeo ndani hajui hata salary slip yako ikoje????!!!
Halafu unataka kukodoa macho juu ya kipato chake, ubinafsi sana huu!!!!!

Mke ni rafiki, partner, mpenzi wako wa kufa na kuzikana kaeni pigeni story mbona waelewa sana tu wanawake kama na wewe mwenyewe unasomeka!!!!!
 
Usitegemee kupunguza gharama za maisha kwa mshahara wa mwanamke we piga kaz upate hela na mpe huduma zote km kawaida, mwanamke akishaona huna shida na hela zake yeye mwenyewe atajipendekeza kuileta! wanaume tumeumbwa kukomaa.

Am proud of this!!!!!
 
Mtoa mada ni mmojawapo
wa wanaume wanaosemaga nataka nioe mke mfanyakazi. Yaani kwa kifupi alioa mshahara. Sasa imekuwa kinyume na matarajio yake, yeye mbio JF.
 
Ulikosea tangu mwanzo sasa ndo unajuta.hawa inatakiwa uwabane mapema ukichelewa ndo haya yanayokukuta sasa.na ww goma kutoa zako.
 
Kaa naye chini mkubaliane anakulipa fidia kiasi gani kila mwezi ya muda wako unaomwachia kukaa ofisini; kama halipi mwachishe kazi awe anakufulia tuuu hapo nyumbani

kumekuwa na tabia hii ya ajabu lakini ipo nguvu nyuma yake inayochochea haya wadadawa kikristo wamekuwa wakiolewa sana na wakaka wasio wakristo mwisho wa siku wengi wao si mzuri hii tabia inakua kwa kasi sana si tabia nzuri ni heri kuvumilia kuliko kuchanganya imani watoto huangaishwa sana na pia haipendez.
 
Back
Top Bottom