Hope umefurugwa....
Hujiamini.....
Hujitambui.....
Sio mwanaume uliyekalika....
Wanawake wazur utaishia kuwaona na kuwaita shemeji...
Watoto wako hawatakuwa wazuri kuanzia sura na akili kwa meana ya uchaguzi wako......
"The higher the risk the higher return"
Nilikuwa nasikia kwamba wanawake ambao wamesoma hawaoleki nabisha ila sasa nimeamini ni wabishi, wajuaji hawapendi kukosolewa na wana kujivuna sana bora kuoa binti wa kawaida ambae amepiga div 5 yake unajichagulia wife material safi lakini hawa wa module,supp, semister siwawezi kabisaaaaa.
Molembe karusha jiwe gizani, madhara yake ndio haya sasa!
nilikuwa nasikia kwamba wanawake ambao wamesoma hawaoleki nabisha ila sasa nimeamini ni wabishi, wajuaji hawapendi kukosolewa na wana kujivuna sana bora kuoa binti wa kawaida ambae amepiga div 5 yake unajichagulia wife material safi lakini hawa wa module,supp, semister siwawezi kabisaaaaa.
Nilikuwa nasikia kwamba wanawake ambao wamesoma hawaoleki nabisha ila sasa nimeamini ni wabishi, wajuaji hawapendi kukosolewa na wana kujivuna sana bora kuoa binti wa kawaida ambae amepiga div 5 yake unajichagulia wife material safi lakini hawa wa module,supp, semister siwawezi kabisaaaaa.
Na wanawake wa aina hiyo cannont stand such nonesense eti wamtishia kumleta mwanamke mwingine alaa well na mkae kwa amani!
Almost 95%, it's true story
Mimi sitotumia my positive energy kubishana na watu ambao hawajielewi...na watu wengine wanavyoshobokea its a shame to be honest...wanataka mtu hata akikutia dole la macho ukae utulie tu uugulie...lazima mjifunze kupokea critics kama nyinyi mnavyozitoa!!mnatusema sisi wajuaji mmejuaje kama humjaumbuliwa?lazima ulikuwa unampiga mtu changa la macho ukapewa za uso....wanawake waloelimika wanajua haki zao na kujenga hoja!mwanaume jiamini na usimame kama mwanaume with PRIDE and SINCERITY again i repeat SINCERITY hakika wanawake wote watakuheshimu!wacha nikasome articles niongeze knowledge!
Cc Mkoroshokigoli,much respect to you,njoo utoe mchango wako!
Mimi sitotumia my positive energy kubishana na watu ambao hawajielewi...na watu wengine wanavyoshobokea its a shame to be honest...wanataka mtu hata akikutia dole la macho ukae utulie tu uugulie...lazima mjifunze kupokea critics kama nyinyi mnavyozitoa!!mnatusema sisi wajuaji mmejuaje kama humjaumbuliwa?lazima ulikuwa unampiga mtu changa la macho ukapewa za uso....wanawake waloelimika wanajua haki zao na kujenga hoja!mwanaume jiamini na usimame kama mwanaume with PRIDE and SINCERITY again i repeat SINCERITY hakika wanawake wote watakuheshimu!wacha nikasome articles niongeze knowledge!
Cc Mkoroshokigoli,much respect to you,njoo utoe mchango wako!