Me nawapenda hao hao pasua kichwa coz akileta za kuleta unamletea mwenzake achague moja kuchinja au kunyonga!
Na wanawake wa aina hiyo cannont stand such nonesense eti wamtishia kumleta mwanamke mwingine alaa well na mkae kwa amani!
Mnavyojibu kwa mkato na majivuno hivi ni kama mnapigia mstari hoja ya jamaa..hasa wanawake wa kibongo..
ukioa mke aliesoma hawezi kusema ndio kwa kila usemacho hata kama ni pumba wengi mnaogopa changamoto
Utawaweza wapi na wewe mburula? labda wakuoe wewe.
Black widow uwe unajiheshimu sio kila wakati siasa na mambo yako ya dini.
Na wanawake wa aina hiyo cannont stand such nonesense eti wamtishia kumleta mwanamke mwingine alaa well na mkae kwa amani!
Kweli kabisaukioa mke aliesoma hawezi kusema ndio kwa kila usemacho hata kama ni pumba wengi mnaogopa changamoto
Haya nishakuja wasemaje xiexie
tumefanyaje tena maana naona naitwa
ndo tumekuja sasa wewe nahisi una matatizo hakuna mwanamke msomi ambaye hayajaolewa na kufurahia ndoa yake labda kuwe na mushkeri hapo ila kwa mwanamke anayejiheshimu, mvumlivu na mstahimilivu, mwenye mapendo ya dhati lazima awe na mume sivyo unavyodhani ndugu ni MTAZAMO WAKO HASI ULIONAO
Na kwa taarifa yako wale ambao ni viongozi ni wanawake wazuri kupita kiasi ni weredi kwenye mambo yote
sasa kinachokusarandisha hapa niini kama sio huna lako jambo?
Hahaaa umenisahau na mimi!
Hope umefurugwa....
Hujiamini.....
Hujitambui.....
Sio mwanaume uliyekalika....
Wanawake wazur utaishia kuwaona na kuwaita shemeji...
Watoto wako hawatakuwa wazuri kuanzia sura na akili kwa meana ya uchaguzi wako......
"The higher the risk the higher return"
Mmmnh... Mwanaume yeyote mwenye hoja dhaifu na asiye jiamini lazima ataogopa mwanamke msomi..!
Wee kama una hoja dhaifu na hujiamini nenda kaoe beki tatu... Baasi..!
Waache wenzio wenye hoja za ukweli na wanaojiamini waoe wasomi..!!