Baada ya kutembea mikoa kadhaa Tanzania, nimegundua wanawake wa Kihangaza ni wife material

Annunaki

JF-Expert Member
Dec 30, 2021
1,911
3,171
Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.

Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.

Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.

Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;

Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.

Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.

Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.

Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.

Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.

Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.

Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.

Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.

10314488_638583816230388_1132726368634373759_n.jpg
View attachment 2513716
Screenshot_20230211-155232_1.jpg
 
Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.

Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.

Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.

Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;

Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.

Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.

Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.

Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.

Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.

Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.

Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.

Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.

View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
Hiyo tshet nilimpatia mimi pale Benaco
 
Sijabahatika kutembea mikoa yote ya Tanzania, ila kwa baadhi ya sehemu nilizowahi kufika, nimegundua wanawake wa KIHANGAZA ni wife material.

Wahangazi ni kabila linalipatikana wilaya ya Ngara na Bihalamulo mkoani Kagera.

Na mwaka sasa umepita toka nilipohama kutoka maeneo hayo, lakini nadriki kusema pamoja na kuhama kwangu kutoka huko, sijasahau sifa nzuri za wanawake wa KIHANGAZA.

Kwa nini nadrika kusema wanawake wa KIHANGAZA ni wife material;

Kwanza ni wavumilivu, aisee ukitoa wasukuma kwa uvumilivu basi hawa wanawake wa KIHANGAZA ni wavumilivu sana na wanaridhika na kila hali ya maisha.

Pili ni warembo na wazuri wa asili. Aisee hawa wanawake ni wazuri sana na wengi Wana sura na maumbo ya kinywaranda na warefu kiasi, Wana weusi wao mzuri sana hawatumii mkologo kabisa walio wengi.

Tatu, wanajitunza sana, kwa wahangaza mwanamke kuolewa akiwa bikra ni jambo la kawaida sana. Wanajitunza sana si ajabu ukakutana na binti wa miaka 23-25 akiwa bikra kabisa.

Nne ni wachapakazi, hawa watu wanafanya kazi sana aisee, yaani ni kama wasukuma, siyo wavivu wa Kazi hata kidogo.

Tano , Mwanamke wa KIHANGAZA akikupenda ni amekupenda kweli, yaani hata kama mko dini tofauti yeye yupo tayari abadili dini yake ila asikupoteze.

Sita, wanapenda sana kufanya biashara, wanawake wa KIHANGAZA nawafananisha na wakichagga kabisa, hawa wanawake wanapenda sana kufanya biashara, yupo radhi usimuhudumie vizuri ila umpe biashara ajisimamie mwenyewe.

Saba, Mahari ya kuoa kwa wahangaza ni ndogo sana. Hawa watu hawapendi kupokea mahari kubwa sana, ndiyo maana wahaya wanawaoa sana.

Mapungufu niliyoyaona kwao;
Elimu kwao si kapaumbele, yaani hawa watu mtoto yupo radhi afanye mtihani vibaya Ili afeli asiendelee na masomo, hawataki kabisa kusoma.

View attachment 2513717View attachment 2513716View attachment 2513718
Basi nenda kawahangaze
 
Back
Top Bottom