Wanawake wa module pasua kichwa

Wanawake wa module pasua kichwa

mimi49 nyinyi wanawake au wasichana baadhi yao wapo wasomi ambao wapo smart na kuna baadh yao wapo ambao si smart kwa kigezo cha elim,na hawa ambao hawapo smart kinachowaangusha hawana elmi ya dini zao,hawaelew wajibu wao kwa mujibu wa miongozo ya kidini,wanawake wanaotambua wajibu wao na kutekeleza hawawez kuwa matatizo.huyu mdau aloleta uzi alichoeleza ni cha kweli,lakin me nadhan hapa ni kwa wanawake wenyewe kujipima,pia aina za wanaume huenda ikawa ni tatizo,kama msomi amekutana na mwanume valuvalu lazima atakusumbua na utalalama na kuhisi ana matatizo,vilevile wanawake wasom baadh yao hawana subira,hata yanapotokea matatizo ya kimahusiano wao hufanya rapid decision,badiliken wadada
wanaadamu tunatofautiana sana kama vilivyo viumbe hai vingine vyovyote…maamuzi ya haraka yanategemea na sitation yenyewe,inavumilika?kuna haja ya kuendeleza huo uhusiano?hata ukivunjika kutakuwa na madhara gani?kuna watakaoathirika na maamuzi hayo?Nazungumza kutokana na uhalisia kwanini ukae uvumilie matatizo yasiosuluhishika kwa mfano?Wazazi wetu walikuwa na subira sana na uvumilivu kwasababu enzi hizo ilikuwa ukiachika ni jambo la aibu mno si kwako tu bali kwa familia nzima na vilevile wanawake walikuwa wamama wa nyumbani wakitegemea mwanaume kama mhudumu,kwa mantiki hio ukiachwa maana urudi kwenu…tukumbuke hii karne nyingine,hilo la kuachana ni cha mtoto kwasababu kuna worse case scenarios.Kama upo educated maanaake upo independent unaweza kujimudu bila hata mwanaume!
Tukija kwenye hilo suala la mwanaume "valuvalu" inategemea na msimamo wa mwanaume…nishaona mifano tofauti ya wanaume ambao ni standard seven leavers na wanawake wenye degrees and the man plays his part quite well,wanaume wakishajiwekea ile fikra ya kujishusha kwamba mwanamke ana elimu kuliko wewe au kujiona huwezi kumiliki kiumbe huyu kutokana na ufanisi alonao,lazima utapata shida sana.Mwanaume anatakiwa ajiamini hata kama hana elimu,hio ndio sifa ya uanaume…...
 
Nilikuwa nasikia kwamba wanawake ambao wamesoma hawaoleki nabisha ila sasa nimeamini ni wabishi, wajuaji hawapendi kukosolewa na wana kujivuna sana bora kuoa binti wa kawaida ambae amepiga div 5 yake unajichagulia wife material safi lakini hawa wa module,supp, semister siwawezi kabisaaaaa.

wapo mkuu... Ila wa kutafuta na tochi..
 
wanaadamu tunatofautiana sana kama vilivyo viumbe hai vingine vyovyote…maamuzi ya haraka yanategemea na sitation yenyewe,inavumilika?kuna haja ya kuendeleza huo uhusiano?hata ukivunjika kutakuwa na madhara gani?kuna watakaoathirika na maamuzi hayo?Nazungumza kutokana na uhalisia kwanini ukae uvumilie matatizo yasiosuluhishika kwa mfano?Wazazi wetu walikuwa na subira sana na uvumilivu kwasababu enzi hizo ilikuwa ukiachika ni jambo la aibu mno si kwako tu bali kwa familia nzima na vilevile wanawake walikuwa wamama wa nyumbani wakitegemea mwanaume kama mhudumu,kwa mantiki hio ukiachwa maana urudi kwenu…tukumbuke hii karne nyingine,hilo la kuachana ni cha mtoto kwasababu kuna worse case scenarios.Kama upo educated maanaake upo independent unaweza kujimudu bila hata mwanaume!
Tukija kwenye hilo suala la mwanaume "valuvalu" inategemea na msimamo wa mwanaume…nishaona mifano tofauti ya wanaume ambao ni standard seven leavers na wanawake wenye degrees and the man plays his part quite well,wanaume wakishajiwekea ile fikra ya kujishusha kwamba mwanamke ana elimu kuliko wewe au kujiona huwezi kumiliki kiumbe huyu kutokana na ufanisi alonao,lazima utapata shida sana.Mwanaume anatakiwa ajiamini hata kama hana elimu,hio ndio sifa ya uanaume…...

sawa mamaaaa
 
wanaadamu tunatofautiana sana kama vilivyo viumbe hai vingine vyovyote…maamuzi ya haraka yanategemea na sitation yenyewe,inavumilika?kuna haja ya kuendeleza huo uhusiano?hata ukivunjika kutakuwa na madhara gani?kuna watakaoathirika na maamuzi hayo?Nazungumza kutokana na uhalisia kwanini ukae uvumilie matatizo yasiosuluhishika kwa mfano?Wazazi wetu walikuwa na subira sana na uvumilivu kwasababu enzi hizo ilikuwa ukiachika ni jambo la aibu mno si kwako tu bali kwa familia nzima na vilevile wanawake walikuwa wamama wa nyumbani wakitegemea mwanaume kama mhudumu,kwa mantiki hio ukiachwa maana urudi kwenu…tukumbuke hii karne nyingine,hilo la kuachana ni cha mtoto kwasababu kuna worse case scenarios.Kama upo educated maanaake upo independent unaweza kujimudu bila hata mwanaume!
Tukija kwenye hilo suala la mwanaume "valuvalu" inategemea na msimamo wa mwanaume…nishaona mifano tofauti ya wanaume ambao ni standard seven leavers na wanawake wenye degrees and the man plays his part quite well,wanaume wakishajiwekea ile fikra ya kujishusha kwamba mwanamke ana elimu kuliko wewe au kujiona huwezi kumiliki kiumbe huyu kutokana na ufanisi alonao,lazima utapata shida sana.Mwanaume anatakiwa ajiamini hata kama hana elimu,hio ndio sifa ya uanaume…...

Kumbuka kuwa hao unaowaita walikuwa mama wa nyumbani ndio walikuwa watafutaji wakubwa wa kipato cha familia na wakawa wavumilivu. Wao ndio walikuwa wanahakikisha chakula cha familia kinatosha, wanalima na kuvuna pamba, kahawa nk ambavyo mauzo yake madingi wanatumia kuongeza mke/wake. Kwani hizo hela zenu mnazopata mnachangia nini? Ni wachache sana ambao wanaongeza kwenye pato la familia. Wengi wenu mnaishia nazo saloon na boutique. Unakuta mtu ana mshahara na bado kila kitu anamuomba mume. Ukimwambia kutimiza majukumu ya mama anadai haki sawa! Haki sawa wakati hata hela ya kutuma kwa wazazi wako natoa Mimi?
 
Kumbuka kuwa hao unaowaita walikuwa mama wa nyumbani ndio walikuwa watafutaji wakubwa wa kipato cha familia na wakawa wavumilivu. Wao ndio walikuwa wanahakikisha chakula cha familia kinatosha, wanalima na kuvuna pamba, kahawa nk ambavyo mauzo yake madingi wanatumia kuongeza mke/wake. Kwani hizo hela zenu mnazopata mnachangia nini? Ni wachache sana ambao wanaongeza kwenye pato la familia. Wengi wenu mnaishia nazo saloon na boutique. Unakuta mtu ana mshahara na bado kila kitu anamuomba mume. Ukimwambia kutimiza majukumu ya mama anadai haki sawa! Haki sawa wakati hata hela ya kutuma kwa wazazi wako natoa Mimi?

Hayo ni matakwa ya mtu binafsi...mimi sioni shida kuchangia na mwenza wangu mahitaji ya nyumbani!
 
hapo umegeneralize sana mkuu, inategemea mtu na mtu; labda nitolee mfano ndoa yangu, mimi nimeoa mwanamke msomi wa degree ndoa yetu ina miaka 14 sasa, mke wangu hana kiburi na ni mnyenyekevu kwangu,akipata mshahara wake mwisho wa mwezi ananiletea mimi wote nipange matumizi na mimi ndo nampa kiasi kadhaa kwa matumizi yake binafsi..... Na kuna wengine wameoa wanawake hata shule hawajaenda ila ndo full viburi.
 
hapo umegeneralize sana mkuu, inategemea mtu na mtu; labda nitolee mfano ndoa yangu, mimi nimeoa mwanamke msomi wa degree ndoa yetu ina miaka 14 sasa, mke wangu hana kiburi na ni mnyenyekevu kwangu,akipata mshahara wake mwisho wa mwezi ananiletea mimi wote nipange matumizi na mimi ndo nampa kiasi kadhaa kwa matumizi yake binafsi..... Na kuna wengine wameoa wanawake hata shule hawajaenda ila ndo full viburi.

Mkuu mke wako ni exceptional:thumbup:😀 wanawake wengi siku hizi mshahara wake anatumia kufanyia mambo yake binafsi, wa kwako ndio anataka mtumie kwa mambo ya wote yakiwemo na ya kwake. Wengi wao siku hizi kwenye ndoa wanaenda kushindana na kuleta ubabe. Simply, si ana mshahara utakaomuwezesha kuishi peke yake!
 
tatizo sio hata kusoma wanaume hampendi chalenge kupitwa hata mshahara mnaweka inferiority complex hata kaja hamja dharauliwa mnajihci ndo mana mwaambiwa mshike sana elimu usimwache aende zako acheni woga na mwanamke msomi hakubali kupelekeshwa na kuonewa badilikeni nyie
 
You are wrong... sina hasira Doctor...
Mie naona wanawake wote wanaoleka, haijalishi amesoma sana ama la.... The issue ni how does he handle the family yeye akiwa kiongozi wa familia.
Nikionacho mie, wanaume wanapenda sana kumcontrol mwanamke hata kwenye mambo yasiyo ya msingi, msomi ana confidence ya kumwambia kua he is wrong... tell me something Doctor, mwanamke msomi ni chizi by nature mpaka abishie vitu vyenye mantiki kwa mumewe?
Heshima yako kwake itakufanya akutreat vema.
Nimekupata mamy..ni discussion ambazo zipo mitaani na zimeingia kwenya concious za watu..mm naamini sio wote kuna ambao wamesoma na wanamaintain ile womanity na kwenye ndoa they play their part..
 
ungekuwakaribu ningekuzawadia kitu maana umenitouch kwa post yako hii
Mmmnh... Mwanaume yeyote mwenye hoja dhaifu na asiye jiamini lazima ataogopa mwanamke msomi..!

Wee kama una hoja dhaifu na hujiamini nenda kaoe beki tatu... Baasi..!

Waache wenzio wenye hoja za ukweli na wanaojiamini waoe wasomi..!!
 
mwana umenena vyema hawataki challenge kabisa hao na usiombe ukute mwanamke amejitosheleza kivyake yeye anakuwa muoga sana
tatizo sio hata kusoma wanaume hampendi chalenge kupitwa hata mshahara mnaweka inferiority complex hata kaja hamja dharauliwa mnajihci ndo mana mwaambiwa mshike sana elimu usimwache aende zako acheni woga na mwanamke msomi hakubali kupelekeshwa na kuonewa badilikeni nyie
 
Nimekupenda bure bure mwaaah
Ha ha haaa kiiiiiruuuuu! Mwajua shida ipo wapiiii? ni unakuta dume hana lolote kifuture na mfukoni pia panguuu pakavu. Sasa imagne ntuu kama huyo unakuta amekuaproach umekubali kipnd cha relationship kimeeendaaa mwishoe anataka ndoa na vile maneno yanasema kuolewa ni sheria bax unapga moyo konde coz mwaelewana mnafanya mambo. Ishu inaaanza pale labda mmeshapata watoto mume hapo hana dira ni ile unamsitri kuziba aibu coz akiaibka umeaibika wewe,hapo ndio mwagongesha life nyumba ni self ya kupanga,h,girl yupo anahtaji kulipwa,bill za maji,maziwa,umeme na maintanance zote za nyumbani ukute watoto wanasoma lbd hizi skul za YES/NO nadhani mwaelewa gharama. Hapo huyo mume badooo akijipgapga lbd ni 10000 kwa wiki anaweza pata mke unavumilia ccoz ndio mumeo na umempenda unaendelea mfichia aibu, KASHESHE ni pale labda mke umejikamua umeweza nunua kausafiri labda FUNYCAGO,VITZ,PRIMIOR,COROLA n.k. Mume hana shughuli ya kumlipa ila atataka hilo gari awe yeye ndio umwekee fuel awe anazunguka nalo maskani na vijiwe vya mafara wenzake na akifka huko fara mwenzake anamwambia aisee kuna mahali nimexkia kuna dill twende imagne toka upanga mpk vingunguti au nina ndugu yangu nataka kwenda kumuona kibaha twende anaenda asimuuzi rafki hapo gari mafuta,vipuli hajui vnagharamiwa na ukute kakamattwa na trafk fine inahtajka hawana anakupgia unamtumia ila akwambii umbali aliopo maana si utammaind, sasa mke ukiitaji gari labda waenda sokoni au whatever hakupi na ukimbana zaidi anachukia na kunununa na hapo ndani hatoi hata sent 5 maana kale ka 10,000 alichokua anatoaga kakaelekezea naye kwenye fuel ajioshee nomino. Mzigo wote wa familia mke anaubeba mume kawa mume jina hata mtoto amwambie dady plse give me 500 for pencil hana anamjibu mtoto toooka mwambie mamaako ndio anashughulika nayo sasa piga picha MUME WA DIZAIN HII HACHOSHIIIII? ndio mjiulize kwanini single mother zinaongezeka ni kwasababu wanaume mmekua MARIOO sana hamjitumii,mwataka muwe maboss elimu huna,muuza magari wkt hata 10,000 huna mfukoni! Mke akisema apge overtime aongeze kibato unakua mkali akirudi umsemesh na tunarudi usiku shauri ya kazi na hapo gari yake unalo umekalia kujambiajambia daily ila akikwambia nachelewa njoo nichukue uendii eti mke aniendesh. Sasa mwisho wa xku nakukinai nakuhama na wanangu na mali zangu uendelee kuwa huru nisikupe presha. MWANAUME TAMBUA UANAUME WAKO NA UKIITWA BABA LAZIMAA UBABAIKE FAMILIA ISIMAME
 
mwana umenena vyema hawataki challenge kabisa hao na usiombe ukute mwanamke amejitosheleza kivyake yeye anakuwa muoga sana

mwanamme kama molembe hajielewi wa division 5 atafanya nini kuna mtu kaoa aliyeishia form mwanamke ana msumbua na uelewa wa mambo mdogo kwakwel mwanamke msomi ni muhimu tofauti na ambaye ni division five kuogopa chalenge ni nidhamu ya woga kwa hyo wao waende shule wanawake wasiende kisa uoga wao
 
si wanataka kuwakandamiza tu na mfumo dume wao
unafikiri hawa wanaume wana la maana kwetu
ndo maana wanatuogopa sana sisi tuliofika level za juu
hasa huyu molembe naye angaalie sana
mwanamme kama molembe hajielewi wa division 5 atafanya nini kuna mtu kaoa aliyeishia form mwanamke ana msumbua na uelewa wa mambo mdogo kwakwel mwanamke msomi ni muhimu tofauti na ambaye ni division five kuogopa chalenge ni nidhamu ya woga kwa hyo wao waende shule wanawake wasiende kisa uoga wao
 
si wanataka kuwakandamiza tu na mfumo dume wao
unafikiri hawa wanaume wana la maana kwetu
ndo maana wanatuogopa sana sisi tuliofika level za juu
hasa huyu molembe naye angaalie sana

ladyfurahia salamaaa? mnajua mlivyo na matatito ndo maana ndoa zenu hazina amani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom