mimi sitotumia my positive energy kubishana na watu ambao hawajielewi...na watu wengine wanavyoshobokea its a shame to be honest...wanataka mtu hata akikutia dole la macho ukae utulie tu uugulie...lazima mjifunze kupokea critics kama nyinyi mnavyozitoa!!mnatusema sisi wajuaji mmejuaje kama humjaumbuliwa?lazima ulikuwa unampiga mtu changa la macho ukapewa za uso....wanawake waloelimika wanajua haki zao na kujenga hoja!mwanaume jiamini na usimame kama mwanaume with pride and sincerity again i repeat sincerity hakika wanawake wote watakuheshimu!wacha nikasome articles niongeze knowledge!
Cc
mkoroshokigoli,much respect to you,njoo utoe mchango wako!