Wanawake wa module pasua kichwa

Wanawake wa module pasua kichwa

Kumbuka kuwa hao unaowaita walikuwa mama wa nyumbani ndio walikuwa watafutaji wakubwa wa kipato cha familia na wakawa wavumilivu. Wao ndio walikuwa wanahakikisha chakula cha familia kinatosha, wanalima na kuvuna pamba, kahawa nk ambavyo mauzo yake madingi wanatumia kuongeza mke/wake. Kwani hizo hela zenu mnazopata mnachangia nini? Ni wachache sana ambao wanaongeza kwenye pato la familia. Wengi wenu mnaishia nazo saloon na boutique. Unakuta mtu ana mshahara na bado kila kitu anamuomba mume. Ukimwambia kutimiza majukumu ya mama anadai haki sawa! Haki sawa wakati hata hela ya kutuma kwa wazazi wako natoa Mimi?

nikikkomba hela ya wazazi wangu nakuzuga tu usinistukie, lakini nshawatumia kisirisiri
 
Nilikuwa nasikia kwamba wanawake ambao wamesoma hawaoleki nabisha ila sasa nimeamini ni wabishi, wajuaji hawapendi kukosolewa na wana kujivuna sana bora kuoa binti wa kawaida ambae amepiga div 5 yake unajichagulia wife material safi lakini hawa wa module,supp, semister siwawezi kabisaaaaa.
Inategemea na mtu, ofcourse kuna baadhi wapo hivyo, lakin ni vizuri pia kuangalia gap kati yenu, usije ukawa na ka certificate then ukang'ang'ana na mwenye Phd
 
nikikkomba hela ya wazazi wangu nakuzuga tu usinistukie, lakini nshawatumia kisirisiri

Kwa hiyo nyie mnapenda vitu viwe vinaenda kwenu tu, eti! Kwani tunagawa kwenye ya kwangu sawa kwa sawa kwenda pande zote mbili na wewe unatuma kwenu na kwetu hutumi. Loh, ni haki kwa mama wakwe kuwachukia nyie!
 
Enyi waume...ishini na wake zenu KWA AKILI, huku mkiwapa heshima KAMA VIUMBE DHAIFU. Mwanamke mbabe kwenye familia anadhihirisha udhaifu wake. ISHI NAE KWA AKILI hommie.
 
Kumbuka - tabia haiendeni na waliosoma au kinyume chake

Tabia au hulka inabaki pale pale, na malezi yanachangia pia
 
Back
Top Bottom