Mr...samahani lakini kama ntakukwaza lakini kiukweli the way ulivyo,nafasi uliyonayo kwa taifa ukichanganya na elimu yako mpaka hapo unashindwa kweli kufikiri jambo dogo kama hili?!..sikutegemea wewe ndo wa kuleta thread kama hii jukwaani!.
..anyway! wa~marangi hatupo hivo,hizo ni imani za zamani sana lakini mbona mama zetu waliolewa na wapo kwenye ndoa zao nzuri hadi leo?!,makosa mengine ni ya kibinadamu tu,lakini hamna anaeua mtu kisa mali kutokana na kabila...ukiona mtu kafanya hvo ni tabia yake usisingizie kabila kwani hata mwingne anaweza fanya na asiwe mmarangu!,.
usituharibie huku hadhi na sifa ya kabila letu,kumbuka jf ni sehemu tunakutana watu wengi unataka wamarangu tukimbiwe au?!..namshukuru mungu hubby wangu hana imani hizo.
Mi siyo mchaga ila haipiti siku bila kujadili wachaga, tatizo ni nini? Labda mnataka tunaowapenda wachaga tuwaoe nyie sasa
jamaa yako ana yake ... pesa management ni muhimu aisee
Mpo juu kwenda wap wauaji nyie!
Na machame pia ni janga
I am a proud chagga tena wa marangu paradise ni kuzuri sana marangu kwetu na sisi ni wazuri pia kwenye kila idara !. As a matter of fact very tribalistic when it comes to dating. I don't date vyasaka.
Namshukuru Mungu kwa kuniumba mchagga. Tena sana kabisa.
Haika Ruwa, Mndumi oko. Aika sana papa!
Watu kama nyie malofa tuu na ushamba umewajaa, wanawake siku hizi wanafata pesa, kwa sababu kwa namna moja au nyingine inawahakikishia security
Kwani haujaolewa miss chaga,
Mie huwa nawaza ntampataje mchaga awe mke wangu jamani.ila hakuna kula chakula chako ulichopika
Endelea kujifariji,...
Generalization epidemic.yaani watu ukabila udini na ubaguzi bado haujawatoka tu.na story za vijiweni.si ajabu anayeongea haya hawajui hao wamarangu zaidi ya kumi.akili finyu hizi
Mfano Mbowe kuweka wachaga wote kwenyesafu ya uongozi chadema sio ukabila au ni stori za vijiweni.
Na mengi kujaza wachaga IPP nayo vipi.mna ukabila ni bora mngechukuliwa na Mwingereza mwende kenya mtuache na mjerumani.
Mchaga anayejali pesa kuliko utu pia wapo tofauti na watanzania wote mchga mwenyewe anakuambia kuwa mzuri ni aliyekufa.
Mie kwa ukabila ndo nawakubali CHASAKA
Siku zote ukiwa Juu utatizamwa kwa jicho tofauti. Wabongo siku zito wanapenda waone ukizama.
Wachaga tupo juu tena, Mlima Mrefu kuliko yote Afrika upo Kwetu, watoto Wazuri, Wasomi, Wachapa Kazi, Matajiri, Wafanya Biashara Wakubwa Wanapatikana K'Njaro. Hili halina Ubishi.
Wanao waponda ni Makaka ambao wanamadada na wamekosa Mashemeji!
Ukioa K'njaro umepata Kila Kitu. Acheni Majungu na acheni kuwachafua Dada Zetu.
Tupo Juu na Tutaendelea Kuwa Juu Kama Mlima Wetu.
Poleni Mnao hangaika kutuchafu. Muda mnao hangaika mngefanya jambo la maendeleo.
Wachaga Mliopo humu hebu tufikirie zama zile za Marreale kudai uhuru wa wachaga, turudi hapo tuone Mareale alikuwa anataka nini.
Aikenyi Mbee
Siku zote hamna binadamu anayekubali mapungufu yake,hata ktk familia yenu unaweza ukajua kabisa baba yako ni mchoyo ama tapeli ila akatokea mtu akuambie kuwa mwambie baba yako aache tabia yake ya uchoyo ama utapeli lazima utamtetea baba yako tu.
siku zote ukiwa sehemu ya kitu ni vigumu kukubaliana na ukweli au kukubali mapungufu ni wachache sana wanaweza fanya hvyo coz ni nature ya mwadamu.
Unadhani rizone anaona mapungufu ya baba yake?,jibu ni hapana!
Mkuu umetokea same??au nimefananisha i.d??
Na wakibosho tuna tatizo kwani...yani wakibosho sisi niwazunguu....sikuuwi nataka tuzeeke wote,ila pesa isipoonekana nakuchoma kisu haki ya ruwa mpaka useme pesa umedondosha wapi...kama ni kwa mchepuko utasema tuu
ila watamuuuu...nilikuwa nalo moja pale nmb tanga lina ------ ya hatariiiii....aaagh acha niuwawe tu bana
Nilimaliza advance mwaka 2011 mkuu.