Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Wanawake wa Kimarangu ni hatari

I am a proud chagga tena wa marangu paradise ni kuzuri sana marangu kwetu na sisi ni wazuri pia kwenye kila idara !. As a matter of fact very tribalistic when it comes to dating. I don't date vyasaka.

Namshukuru Mungu kwa kuniumba mchagga. Tena sana kabisa.

Haika Ruwa, Mndumi oko. Aika sana papa!
 
Si marangu tu ni makabila yote ya kanda ya kati na kaskazin unakuta mwanamke anachukia ndugu zako sasa wa nin huyu
 
I am a proud chagga tena wa marangu paradise ni kuzuri sana marangu kwetu na sisi ni wazuri pia kwenye kila idara !. As a matter of fact very tribalistic when it comes to dating. I don't date vyasaka.

Namshukuru Mungu kwa kuniumba mchagga. Tena sana kabisa.

Haika Ruwa, Mndumi oko. Aika sana papa!
bravo mmarangu.. noo vyasaka
 
I am a proud chagga tena wa marangu paradise ni kuzuri sana marangu kwetu na sisi ni wazuri pia kwenye kila idara !. As a matter of fact very tribalistic when it comes to dating. I don't date vyasaka.

Namshukuru Mungu kwa kuniumba mchagga. Tena sana kabisa.

Haika Ruwa, Mndumi oko. Aika sana papa!

Hili kabila linawapa joto vyasaka na bdo watakufa n vihoro vyao acha dada zao tuwalambe tu
 
mama yangu mchaga tena mmarangu mm baba yngu nimuhehe hizo tabia mnazisema ni uongo mtupu wachaga hasa wamarangu ni ndg zang nimekaa nao cna na hizo tabia cjawah kuziona wala kuzisikia mama yangu ni mama bora najivunia kw hilo pia hata ndg zako wako poa achen kuish kw mazoea nyie kwn hakuna makabila mengine yenye tabia hizo???
 
Khaa!!! Sasa hii sifa kuwaandama wachaga kila siku... Inaonyesha wadada wa kichaga wanaliendesha sana hili jiji..... Kama kuna dada kichaga humu ambaye yupo single and ready to mingle please PM me.... Maana sio siri nimeanza kuvutiwa nanyi
 
Nadhani kuna mtazamo tofauti hasa kwenye makabila yaliyoendelea hasa wahaya na wachaga licha ya kwamba ndio makabila yaliyoendelea watu huwa hawajifunzi kutokana na maendeleo yao wanatafuta visababu vya ajabu kuja kuwalaumu au kutoa picha ya kuwa si watu wema.
Ni kabila gani nchi hii halina kasoro?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom