Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Mfano Mbowe kuweka wachaga wote kwenyesafu ya uongozi chadema sio ukabila au ni stori za vijiweni.

Na mengi kujaza wachaga IPP nayo vipi.mna ukabila ni bora mngechukuliwa na Mwingereza mwende kenya mtuache na mjerumani.

Mchaga anayejali pesa kuliko utu pia wapo tofauti na watanzania wote mchga mwenyewe anakuambia kuwa mzuri ni aliyekufa.

Mie kwa ukabila ndo nawakubali CHASAKA

Hahaha mzuri ni aliyekufa kivipi mkuu?
 
Nilikua nauona huu Uzi ni wa kizushi ila ukweli nimeamini from vivid example ya Mimi mwenyewe!
Yaliyonikuta ni Mungu tu anajua maana sikuamini kama ningesalimika kwa lile dubwana la Kimarangu mixer Mkibosho. Ahsante Mungu kwa kunionyesha TRUE COLOR ya huyu mwanadada maana kwa jinsi alivyokua akiji-pretend bado siamini kama ni yeye Mnyama vile.

Wadau wangu wa hili jukwaa imeandikwa muishi na wake zenu kwa akili. Ila kwa mwanamke wa Kimarangu inahitajika akili ya Ziada zaidi ya hii iliyotajwa huku kwenye hivi vitabu vitakatifu.

Nashukuru nimetoka salama wa salmini, thanks God!
 
cha ajabu kila siku nenda kwenye matangazo ya harusi idadi ya wanawake wa kichaga kuolewa ni kubwa zaid kuliko wanawake wengine.

mie ni mmachame orijinooo na nasema kweli sichukii mkisema tunaua wanaume ila mie mue ninae mwaka wa 17 huu na mtasubiria wee mwishowe mtaskia tumefikia miaka 50 ya ndoa.
kiruuuuu mandede!!
 
cha ajabu kila siku nenda kwenye matangazo ya harusi idadi ya wanawake wa kichaga kuolewa ni kubwa zaid kuliko wanawake wengine.

mie ni mmachame orijinooo na nasema kweli sichukii mkisema tunaua wanaume ila mie mue ninae mwaka wa 17 huu na mtasubiria wee mwishowe mtaskia tumefikia miaka 50 ya ndoa.
kiruuuuu mandede!!

Wachaga sio kwamba wanaolewa sana sema wanapenda sana harusi.Wapo wengi wanaolewa lakn sio kwa harusi.Bila harusi n ngumu kumuoa mchaga.
 
cha ajabu kila siku nenda kwenye matangazo ya harusi idadi ya wanawake wa kichaga kuolewa ni kubwa zaid kuliko wanawake wengine.

mie ni mmachame orijinooo na nasema kweli sichukii mkisema tunaua wanaume ila mie mue ninae mwaka wa 17 huu na mtasubiria wee mwishowe mtaskia tumefikia miaka 50 ya ndoa.
kiruuuuu mandede!!

Baada ya kuolewa hizo ndoa ni ngapi zinadumu?
 
Tuseme kwa ujumla wanawake wa KICHAGA (karibia wote i.e. MARANGU, MACHAME na OLD MOSHI with exception ya Wa-ROMBO) ni shida kubwa sana MAPENZI SIFURI.
 
Wamarangu wamezidi kwa mikogo ya ajabu ajabu, dharau zisizo na mpangilio, na miguu ya myembamba ka fito! Siwapendi hata bure siwataki mmamazao!!
 
Nilikua nauona huu Uzi ni wa kizushi ila ukweli nimeamini from vivid example ya Mimi mwenyewe!
Yaliyonikuta ni Mungu tu anajua maana sikuamini kama ningesalimika kwa lile dubwana la Kimarangu mixer Mkibosho. Ahsante Mungu kwa kunionyesha TRUE COLOR ya huyu mwanadada maana kwa jinsi alivyokua akiji-pretend bado siamini kama ni yeye Mnyama vile.

Wadau wangu wa hili jukwaa imeandikwa muishi na wake zenu kwa akili. Ila kwa mwanamke wa Kimarangu inahitajika akili ya Ziada zaidi ya hii iliyotajwa huku kwenye hivi vitabu vitakatifu.

Nashukuru nimetoka salama wa salmini, thanks God!


Pole sana Mkuu...
Hawa ni kugonga na kutembea mbele, au unakula unakwenda... usijifanye una mapenzi nao, UTAUMIA... ole wako hela zikuishie kidogo ktk ndoa NDIO UTAWAJUA MASH.ETANI haya... utajuta...
 
Wote ni walewale mkuu ... Nimebahatika kuishi nao wote weee ... Afu ni wambea sijapata ona na ni panya anang'ata na kupuliza.
Kwamba sumu huku kaweka kaseti ya dini sio!, hahahaaaaa~kumbusha mbaali saana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom