Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Naleta mkanda mzima punde, sitani si kwa mwanamke mmoja tu wa kimarangu ila nawajua kama 7 hivi, na ni nuksi hawa, sishauri ndugu au rafiki aoe huko, mama yangu,

Mr...samahani lakini kama ntakukwaza lakini kiukweli the way ulivyo,nafasi uliyonayo kwa taifa ukichanganya na elimu yako mpaka hapo unashindwa kweli kufikiri jambo dogo kama hili?!..sikutegemea wewe ndo wa kuleta thread kama hii jukwaani!.

..anyway! wa~marangi hatupo hivo,hizo ni imani za zamani sana lakini mbona mama zetu waliolewa na wapo kwenye ndoa zao nzuri hadi leo?!,makosa mengine ni ya kibinadamu tu,lakini hamna anaeua mtu kisa mali kutokana na kabila...ukiona mtu kafanya hvo ni tabia yake usisingizie kabila kwani hata mwingne anaweza fanya na asiwe mmarangu!,.

usituharibie huku hadhi na sifa ya kabila letu,kumbuka jf ni sehemu tunakutana watu wengi unataka wamarangu tukimbiwe au?!..namshukuru mungu hubby wangu hana imani hizo.
 
mmemaliza wa machame sasa mpo na wamarangu,big up guys wachaga kiboko yenu

kwa taarifa yako hata wachagga tunawajua wachagga wenye tabia ngumu kama wamachame na wamarangu kwa hiyo lazima tuseme ili wajirekebisha. usilete ushabiki wa kijinga hapa.
 
kwa taarifa yako hata wachagga tunawajua wachagga wenye tabia ngumu kama wamachame na wamarangu kwa hiyo lazima tuseme ili wajirekebisha. usilete ushabiki wa kijinga hapa.

we nani bhana....
 
Mleta mada kafanye uchunguzi zaidi, kuliko uoe MACHAME bora uwe bado nipo nipo tuu!!! Maana hata wanaume wa machame hawaoi kwao, na ukienda Machame kila nyumba utakuta kaburi na ni la baba tuuu!!! Na inasadikika kuwa ukishachuma mali wanaua waume zao ili waweze kutawala mali na watoto wao tuu!! Hivi najiuliza hiyo mali unaenda nayo wapi? Si utakufa siku moja kama ulivyomuua mwenzio???? Mie sio mchaga lakini kila mtu anaogopa mwanamke wa Kimachame, kina Uf....s...ro, wadhulumuji sana.
 
hahahahhahaha, wala usijichoshe kunichukia mtu kama mie, mana sina time kabisaa na watu kama wewe, nawapotezeaga sanaa, halafu unachukia upepo?:A S-confused1: mana nyamayao kwako ni kama upepo tu, mie nakupendaje :busu

Weeeeeeee...hata usinipende mieeeee....nipotezeee tu poa....kama ni mmarangu...kwangu wewe ni Sumu Nyamayao....you almost killed my brother....nami nimechunguliua kifo kutokana na mmarangu pia...I hate hao watu basi tu......
 
Last edited by a moderator:
MMM kumbe,mimi huwa napita tu kwao,sikujua haya.
 
Weeeeeeee...hata usinipende mieeeee....nipotezeee tu poa....kama ni mmarangu...kwangu wewe ni Sumu Nyamayao....you almost killed my brother....nami nimechunguliua kifo kutokana na mmarangu pia...I hate hao watu basi tu......

originale kabisa, damu haijaachakachuliwa hii, lakini bado nakupenda na ntazidi kukupenda.🙂
 
^^sina shaka hapa ni watu wazima, ukisema uongo unajulikana, chunguzeni, za kuambiwa changaya na zako, mje hapa, tumia muda mfupi tu kama siku moja then mje mniambie, ^^ hata mmachame ukiwaambia ni wapalestina watakataa katakata, ni kama umwambie mtu mwizi hujamshika red handed atakataa, sisemi kwa ushabiki, au kusema ukabila, nasema FACTS...ukikataa sbb ww mmarangu basi ww si muungwana..ila hawa hawafai jamani, ni danger kabisa, haya mambo ni kupeana taarifa ya kweli, ni genes zao nadhani.
 
originale kabisa, damu haijaachakachuliwa hii, lakini bado nakupenda na ntazidi kukupenda.🙂

.
.#Nyamayao usije nuna, haya nisemayo ni kweli, hata ukiwa mmarangu kama ww huko hivyo wengi wenu wanawake mko hivyo, ndugu yangu au jamaa yangu mm akitaka kuoa huko nitamweleza ukweli, akibisha basi.
 
Kiboko kwa kipi sasa? Of course kama ni watu wasiofaa lazima lisemwe hilo.....Kwangu mimi nimejikuta nawachukia wanawake wote wa kimarangu...deep down my heart

Hivi mimi huwa nashindwa kuelewa, ni wazuri kwa sura na maumbo asikwambie mtu! shida ni nini???? sitasahau nilipo alikwa katika usuluhishi wa mtu na mchumba wake wa kimarangu! tuko kikaoni moshi mjini kumbe demu katuma ndugu zake wafungashe vitu vyote vya kijana wa watu! majirani kumpigia jamaa simu kuuliza kama nikweli amewatuma tulistaajabu!
 
Mleta mada kafanye uchunguzi zaidi, kuliko uoe MACHAME bora uwe bado nipo nipo tuu!!! Maana hata wanaume wa machame hawaoi kwao, na ukienda Machame kila nyumba utakuta kaburi na ni la baba tuuu!!! Na inasadikika kuwa ukishachuma mali wanaua waume zao ili waweze kutawala mali na watoto wao tuu!! Hivi najiuliza hiyo mali unaenda nayo wapi? Si utakufa siku moja kama ulivyomuua mwenzio???? Mie sio mchaga lakini kila mtu anaogopa mwanamke wa Kimachame, kina Uf....s...ro, wadhulumuji sana.

Koho koho kwikwikwi mtabaki hivyo hivyo. mkileta zengwe tutawadedisha wallah
 
Hivi mimi huwa nashindwa kuelewa, ni wazuri kwa sura na maumbo asikwambie mtu! shida ni nini???? sitasahau nilipo alikwa katika usuluhishi wa mtu na mchumba wake wa kimarangu! tuko kikaoni moshi mjini kumbe demu katuma ndugu zake wafungashe vitu vyote vya kijana wa watu!
majirani kumpigia jamaa simu kuuliza kama nikweli amewatuma tulistaajabu!

..heri umeona na ww, cjui wana roho gani hawa, ukiwaona huwezi amini, na wanageuka siku moja tu, mm pia nina jamaa yangu yuko NIDA Dar, kamuoa mmarangu mwaka 2009, huwezi amini mwaka jana oktoba ndoa ilivunjika kama kijiti kwa taabu jamaa alizopata, alikuwa anamwibia bank kidogo kidogo na akawa na account pembeni na akawa ana mtoto kabla ya ndoa ila baada ya ndoa kuvunjika jamaa akaja jua yote. si vizuri kusema kabila zima ila hawa ni danger
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom