Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Mr...samahani lakini kama ntakukwaza lakini kiukweli the way ulivyo,nafasi uliyonayo kwa taifa ukichanganya na elimu yako mpaka hapo unashindwa kweli kufikiri jambo dogo kama hili?!..sikutegemea wewe ndo wa kuleta thread kama hii jukwaani!.

..anyway! wa~marangi hatupo hivo,hizo ni imani za zamani sana lakini mbona mama zetu waliolewa na wapo kwenye ndoa zao nzuri hadi leo?!,makosa mengine ni ya kibinadamu tu,lakini hamna anaeua mtu kisa mali kutokana na kabila...ukiona mtu kafanya hvo ni tabia yake usisingizie kabila kwani hata mwingne anaweza fanya na asiwe mmarangu!,.

usituharibie huku hadhi na sifa ya kabila letu,kumbuka jf ni sehemu tunakutana watu wengi unataka wamarangu tukimbiwe au?!..namshukuru mungu hubby wangu hana imani hizo.

Ni kweli mkuu wamarangu hawana tatizo ila usipinge kuhusu wamachame,tuna facts nyingi za kudhihirisha hilo.
 
Mtu yeyote asie na hofu ya Mungu , yaani asiekua naroho ya utu, mwenye roho ya kimnyama na katili ndio anayeweza kutenda UASI huo na si kabila hilo tu peke yake, anaweza akatoka kabila lolote hapa Tanzania na hata nje ya nchi na dunia yote kwa ujumla.

95% wanatoka pale machame
 
If you want to exel in life you to get one (Mmarangu) Else endelea na waswahili uone maisha yatakakokupeleka.
Ni mtu dhaifu wa akili na kiuchumi anaweza kuwaona wamarangu hawafai na si vinginevyo.
 
Generalization epidemic.yaani watu ukabila udini na ubaguzi bado haujawatoka tu.na story za vijiweni.si ajabu anayeongea haya hawajui hao wamarangu zaidi ya kumi.akili finyu hizi

Pole sana cndano imekuingia.
 
mbona inaonekana wachaga wameandamwa sana hapa nchini???inaonekana ni kabila fulani lenye kutishia usalama au??naamini kabila siyo tabia ya mtu....je haya makabila yanayosifika kwa ngono pia siyo hatari???

Jirekebisheni tabia zenu hazivumiliki.
 
Am proud to be a chagga girl MARANGU ndio asili yangu watasema tu watupake matope vyote tumebarikiwa akil, muonekano kilakitu nikupe siri upendeleo tumepewa "wachapakazi"hatutegemei yeyote mungu pekee kwa thread hii imefungua fursa za wengine kuvumbua dhahabu# watoto wakimarangu kkutafutwa@dili. Kwa ndambindambi mtabaki kusema hivyo hooooyaee ulele ulele uleee

Mmebarikiwa pia kipaji cha mauaji.
 
Eeh Mods Funga Hii Kitu inanichefua!!. tumeshachoka kujadiliwa kila siku wachaga wachaga,tumekosa nini?!..wanaotujadili wose ni maisemboooo.....tena tondo kapisaaa!!

najivunia kuwa mchaga tena mmarangu...na namshukuru mungu!!.


Moteree...tere tere!.

"HAIKA RUWA UKO RUWEWU.,!" HAIKA SANA.

Tuliza mshono wewe--wewe ni nani hapa jf unayetaka hii mada ifungwe?
 
Mmeanza na Wamachame sasa leo Wamarangu ,kesho mtakuja kwetu Old Moshi na kwa ndugu zetu warombo.Hujazimishwa kuoa mchaga Aisee kama vipi mtuachie wanawake wetu tuwahandle wenyewe. Mbona kila kabila lina kasoro jamani kwani mbona kuna wamarangu wengi tuu wamedumu kwenye ndoa. Sio kila anaefiwa na mume basi ni mchaga .. Tabia binafsi ya mtu usijumuishe na kabila loh hiv kwan ww kabila lako lipo perfect!!!!!!!

Tunashukuru kujua kiwango cha mauaji yenu kipo juu sana!
 
Unaona sasa. Kumbe Msae nayo ni Marangu, na Mamba, na Mwika, na Mamsera na Mkuu..... si mseme wachagga tu kwa ujumla? kwaninı specifally wamarangu.

Guys, msihangaike na eneo moja la uchagani. wachagga letu ni moja. dada zangu ueni haya mambwa tulete heshima chini ya mlima. likija senge linajipendekeza, UA keimamae zake. ueni haya majibwa tubaki peke yetu keimamae zao. UENİ nimesema mimi babu yenu.

Tunashukuru kujua kiwango cha mauaji yenu kipo juu sana!
 
Watu wengine nuksi sana. Yaani Mtu akifa tu inakua tatizo kwa sababu tu kaoa Mmarangu? Ulitaka uishi Milele? Kwani ulilazimishwa kuoa Mmarangu? Si ulimuona ni bora kuliko wengine wote ndio maana ukamuoa?

Watu wengine wivu unawasumbua tu kifuani mwao, Wanatafuta kila njia kuwachokonoa wachaga. Mara museme Wachaga ni Wabaguzi, Mara Museme wanasaidiana wao kwa wao tu, Mara Museme wanajenga kwao tu na sasa mumekuja na hila nyingine kua eti wanaua waume zao? Jamani Hii Itaisha lini?

Mlianza na kuwasasambua Wamachame kwa muda mrefu sasa naona mmeamua kuhamia kwa Wamarangu. Kwani kinachowapeleka kuoa Wamarangu ni nini? si Kiherehere chenu wenyewe? Wee kama siku zako za kufa zimefika kufa Kimya Kimya na acha kunyooshea Wamarangu vidole. Kwani waliooa kabila nyingine hawafi? Mnaniudhi sana watu munaowachawia Dada Zetu.

Acheni kuua ndugu zetu.
 
wivu tu unakusumbua>>>> unatamani ungekua mchaga ...lakini ..too bad ..Huwezi badilisha kabila. Kama wewe kabila lako ni Mtumbua utaendelea kuwa Mtumbua, na utaendelea kuwa na tabia za Kitumbua.... Tuache Wachagga Tukisonga Mbele.

Msonge mbele kwenda wap fisi nyie!
 
baba aliniambia usioe hilo kabila mke atakurestisha in pisi
 
Wachaga wanawake sio wanawake wa kuoa. Ni wanawake special kwa kuwapga mashine nakuwakimbia. Hivyo ndo' me huwa nawafanya cku zote cwezi kujenga mahusiano ya kudumu na wauaji yani hata nipewe bure sioi mchaga!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom