Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Wanawake wa Kimarangu ni hatari

ila watamuuuu...nilikuwa nalo moja pale nmb tanga lina ------ ya hatariiiii....aaagh acha niuwawe tu bana

Hahahaha mzee kigogo upo tayari kurestishwa in peace??
 
kwa experience yangu wachaga 99% wana roho mbaaaaaaya sana na hawana upendo ni wabinafsi na wanaroho za kwanini sana wanawake kwa wanaume
 
wachanga wote watoto wa mama mmoja
wivu tu unakusumbua>>>> unatamani ungekua mchaga ...lakini ..too bad ..Huwezi badilisha kabila. Kama wewe kabila lako ni Mtumbua utaendelea kuwa Mtumbua, na utaendelea kuwa na tabia za Kitumbua.... Tuache Wachagga Tukisonga Mbele.
 
yani humu haipiti cku bila wachaga kusemwa,wafuatani mkaolewe nao nyie wote
 
Last edited by a moderator:
Nop naijua ya same,nilisoma pale same sec.

Your are my schoolmate too! Mimi nilisoma advance nilimaliza 2007. vp wewe ulimaliza mwaka gani? Advance au olevel? Sisi ndo wale tulikuwa tunagombana na mkwizu.
 
Mimi wangu ametokea Kingachi(Rombo Mkuu).Vp hawa tabia zao kiasili.Naomba nisaidiwe ili ni oanishe na za huyu.Lengo nikutambua ili nijipange.Maana ukisikia mahaba niueee ndio haya.
 
Your are my schoolmate too! Mimi nilisoma advance nilimaliza 2007. vp wewe ulimaliza mwaka gani? Advance au olevel? Sisi ndo wale tulikuwa tunagombana na mkwizu.

Nilimaliza advance mwaka 2011 mkuu.
 
Nilimaliza advance mwaka 2011 mkuu.

okay mimi niliwahi kidogo seven years back. Mazingira yalikuwa magumu sana. Uji unakosekana kisa maji. Nilisoma PCB Kipindi hicho kibacha bado.
 
okay mimi niliwahi kidogo seven years back. Mazingira yalikuwa magumu sana. Uji unakosekana kisa maji. Nilisoma PCB Kipindi hicho kibacha bado.

Nadhani mpaka leo mazingira bado no magumu,kufua ni mpaka uende km kadhaa,maji yakija na gari la shule ukizubaa dakika 2 yamekeisha.nadhani wanaotoka pale hawana haja ya kwenda j.k.t
 
kwa experience yangu wachaga 99% wana roho mbaaaaaaya sana na hawana upendo ni wabinafsi na wanaroho za kwanini sana wanawake kwa wanaume

Hujambo Latifaa??
Nini kilikukuta.....wenzio wanawaona dili ujue...!

hatareee........:angry:

cc Asprin snowhite Bigirita neggirl miss chagga ICHANA RR Teamo Zogwale Nicas Mtei Preta Filipo Mr Rocky ........

tumtendeje mtu huyu?:mvutaji::horn::frusty::A S-coffee::A S-coffee:

Hommie,
Sasa si tumeagizwa kuwapenda maadui?
Sasa huyu bibie akipata adui rafiki basi yataisha....
 
Last edited by a moderator:
Hii kitu inaukweli aisee.... Wako after money sana!!!! Mimi nilikuwa nioe huko binti mkali mrembo ila tabia nilizinote kabla so NIMEPOTEZEA..... Bora hata MHAYA atajisifia lkn si kutaka KUNITOA ROHO
 
Nadhani mpaka leo mazingira bado no magumu,kufua ni mpaka uende km kadhaa,maji yakija na gari la shule ukizubaa dakika 2 yamekeisha.nadhani wanaotoka pale hawana haja ya kwenda j.k.t

Yaani mwanafunzi wa same hashindwi kuishi mahali popote duniani. Kile ni kituo cha wagumu. Wanafunzi wa pale hata chuoni wakienda inakuwa mtelemko tu. Mimi na classmate wenzangu tunaiita Pre- university na wengine huitwa MILITARY ACADEMY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom