Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Wanawake wa Kimarangu ni hatari

Naleta mkanda mzima punde, sitani si kwa mwanamke mmoja tu wa kimarangu ila nawajua kama 7 hivi, na ni nuksi hawa, sishauri ndugu au rafiki aoe huko, mama yangu,


Mimi na mademu wa kichagga huwa sidindishi hata iweje, yaani wananiboa hawa majinamizi ya talaka, si kawaida.
 
Eeh Mods Funga Hii Kitu inanichefua!!. tumeshachoka kujadiliwa kila siku wachaga wachaga,tumekosa nini?!..wanaotujadili wose ni maisemboooo.....tena tondo kapisaaa!!

najivunia kuwa mchaga tena mmarangu...na namshukuru mungu!!.


Moteree...tere tere!.

"HAIKA RUWA UKO RUWEWU.,!" HAIKA SANA.
Huyu ni fa.la
 
..heri umeona na ww, cjui wana roho gani hawa, ukiwaona huwezi amini, na wanageuka siku moja tu, mm pia nina jamaa yangu yuko NIDA Dar, kamuoa mmarangu mwaka 2009, huwezi amini mwaka jana oktoba ndoa ilivunjika kama kijiti kwa taabu jamaa alizopata, alikuwa anamwibia bank kidogo kidogo na akawa na account pembeni na akawa ana mtoto kabla ya ndoa ila baada ya ndoa kuvunjika jamaa akaja jua yote. si vizuri kusema kabila zima ila hawa ni danger
Duuh mkuu.
 
Sio siri sijui kwanini suala la kuoa Binti wa kichagga limeniathiri psychologically. Nina washkaji zangu wa ukweli wa kichagga na naelewana na dada zao ila nnapokuja kufikiria suala la kuoa binti yeyote wa kichagga naona tu kama sintakuwa na miaka mingi ya kuishi kabla hajaniua.

Nafikiri some scenarios,maneno ya watu na hizi comments zimeshaniathiri.

Kama mpo hivi all chagga ladies jueni tu Mali na Pesa sio kila kitu katika maisha,wapendeni hata makabila mengine jinsi walivyo.

MUNGU NISAIDIE NIWAAMINI.
 
Bado unaota mpaka uje uamke ni karne ya 30 hayo mambo ni ya kizamani sasa hivi hayapo, tena itakuwa unatafuta uhakika ndiyo ukaamua tu kuandika ili upate uhakika
 
Ukitaka UAGE DUNIA, pata mali, mkeo au mpenzi unae ishi nae awe Mmarangu, kisha anza figisu figisu na vurugu hata za mapenzi tu.. uta R.I.P, hatari sana...
 
Ukitaka UAGE DUNIA, pata mali, mkeo au mpenzi unae ishi nae awe Mmarangu, kisha anza figisu figisu na vurugu hata za mapenzi tu.. uta R.I.P, hatari sana...
wamarangu mbona wako poa tu,labda alikutana na mtu ana genes za wapalestina
 
Duh....sasa mbona mwenzenu nishapeleka posa kwa wakwe zangu Wamachame wiki ya pili hii sasa?sijui nikaidai?maana ni kama naenda kukinunua kifo vile!
 
Wamarangu wana katatizo kadogo tu ka uvivu na kuringia hako ka weupe.
Kama unaongea kichaga chao wanajua kujikomba kweli.
Ni maarufu kama mwanjo !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom