Ukioa mwanamke wa kibosho, umeoa jembe! Hautakufa njaa, they are hard working... i admire them to death! Jamaa zangu wameoa wakibosho maisha yao ni full raha...Jamani me naomba mnipe habari za wakibosho nao vp au ni walewale?
Ukioa mwanamke wa kibosho, umeoa jembe! Hautakufa njaa, they are hard working... i admire them to death! Jamaa zangu wameoa wakibosho maisha yao ni full raha...Jamani me naomba mnipe habari za wakibosho nao vp au ni walewale?
yani wachaga tunalo aiseeeee!!! ila kuoa si lazima wala kuolewa du mtu akifa kisa kaoa mchaga mnahisi katunguliwa ila aisee si sawa
Mleta mada kafanye uchunguzi zaidi, kuliko uoe MACHAME bora uwe bado nipo nipo tuu!!! Maana hata wanaume wa machame hawaoi kwao, na ukienda Machame kila nyumba utakuta kaburi na ni la baba tuuu!!! Na inasadikika kuwa ukishachuma mali wanaua waume zao ili waweze kutawala mali na watoto wao tuu!! Hivi najiuliza hiyo mali unaenda nayo wapi? Si utakufa siku moja kama ulivyomuua mwenzio???? Mie sio mchaga lakini kila mtu anaogopa mwanamke wa Kimachame, kina Uf....s...ro, wadhulumuji sana.
Mleta mada kafanye uchunguzi zaidi, kuliko uoe MACHAME bora uwe bado nipo nipo tuu!!! Maana hata wanaume wa machame hawaoi kwao, na ukienda Machame kila nyumba utakuta kaburi na ni la baba tuuu!!! Na inasadikika kuwa ukishachuma mali wanaua waume zao ili
waweze kutawala mali na watoto wao tuu!! Hivi najiuliza hiyo mali unaenda nayo wapi? Si utakufa siku moja kama ulivyomuua mwenzio???? Mie sio mchaga lakini kila mtu anaogopa mwanamke wa Kimachame,
kina Uf....s...ro, wadhulumuji sana.
Kila siku wachaga, wana jf kuna kundi maalumu huku jf wapo kwa ajili ya kuendekeza chuki dhidi ya makabila, tumeshaona kila siku ni wale wale, sasa Mr. President naomba nikuoe wewe
.ebu jadili mada, ukweli mchungu.
Mi siyo mchaga ila haipiti siku bila kujadili wachaga, tatizo ni nini? Labda mnataka tunaowapenda wachaga tuwaoe nyie sasa
..sio TUNAWASEMA, tunaongea ukweli kabisa, mbona
wakibosho hatuwajadili, wapare, au mrombo au msiha? kwa sbb hawana element za kuwaua wanaume zao maisha yanapokuwa mazuri na kipato kuwa kikubwa, hawa ni danger ndugu yangu, ebu uliza tu utakuja hapa na kusema kumbe watu wengine tunaongea kwa umakini na kufanya research kabla ya kuongea. niamini #13Mega pixel. ulizia tu mbona ni bure kuwajua
Umeona eeehhhh!Achana nao hao Kyekue..
Kama wanakuzingua basi nitakuoa mimi...
Hamna hii ni too much, mtandao wa kuwachafua wachaga, baada ya hapa sijui watafatia wahaya malaya wazaramo wa limbwata:na vigodoro, au wakinga na uchawi, kupandikiza chuki angekuwa mtt wa kike hapo sawa tungesema labda kaibiwa bwana, wewe hutaki waolewe ili iweje?au dada zako hawajaolewa wanaolewa wachaga tuu?
Achana nao hao Kyekue..
Kama wanakuzingua basi nitakuoa mimi...
wajameni hii post imeleta mtafaruku mkubwa kwa my best frnd kaoa mmarangu yuko Kawe, Dar, kanipigia, kampa onyo mke wake kwasbb aliziona dalili hizi pia ila baada ya kusoma hii post, nikamuuliza je mkewe kaiona, akaniambia no, ila baada ya kusoma hapa akampa onyo kali na akasema haya ni kweli kabisa na huwa yeye ana wasiwasi tangia mwanzo tabia za hawa wamarangu, ila
sasa yuko chonjo sana, nikamuuliza vipi kauli zake, akasema ana kauli laini, muumini mzuri kanisani ila kuna mara nyingi vitendo vyake vimemtisha maisha sana sana kuhusu pesa.