Mr...samahani lakini kama ntakukwaza lakini kiukweli the way ulivyo,nafasi uliyonayo kwa taifa ukichanganya na elimu yako mpaka hapo unashindwa kweli kufikiri jambo dogo kama hili?!..sikutegemea wewe ndo wa kuleta thread kama hii jukwaani!.
..anyway! wa~marangi hatupo hivo,hizo ni imani za zamani sana lakini mbona mama zetu waliolewa na wapo kwenye ndoa zao nzuri hadi leo?!,makosa mengine ni ya kibinadamu tu,lakini hamna anaeua mtu kisa mali kutokana na kabila...ukiona mtu kafanya hvo ni tabia yake usisingizie kabila kwani hata mwingne anaweza fanya na asiwe mmarangu!,.
usituharibie huku hadhi na sifa ya kabila letu,kumbuka jf ni sehemu tunakutana watu wengi unataka wamarangu tukimbiwe au?!..namshukuru mungu hubby wangu hana imani hizo.
Mtu yeyote asie na hofu ya Mungu , yaani asiekua naroho ya utu, mwenye roho ya kimnyama na katili ndio anayeweza kutenda UASI huo na si kabila hilo tu peke yake, anaweza akatoka kabila lolote hapa Tanzania na hata nje ya nchi na dunia yote kwa ujumla.
mmemaliza wa machame sasa mpo na wamarangu,big up guys wachaga kiboko yenu
Generalization epidemic.yaani watu ukabila udini na ubaguzi bado haujawatoka tu.na story za vijiweni.si ajabu anayeongea haya hawajui hao wamarangu zaidi ya kumi.akili finyu hizi
mbona inaonekana wachaga wameandamwa sana hapa nchini???inaonekana ni kabila fulani lenye kutishia usalama au??naamini kabila siyo tabia ya mtu....je haya makabila yanayosifika kwa ngono pia siyo hatari???
Upuuuzi Mtupu
mbona kila siku wachaga ndio tunawaonea...vipi kuhusu wazaramo, wasambaa, wangoni na wengineo
Am proud to be a chagga girl MARANGU ndio asili yangu watasema tu watupake matope vyote tumebarikiwa akil, muonekano kilakitu nikupe siri upendeleo tumepewa "wachapakazi"hatutegemei yeyote mungu pekee kwa thread hii imefungua fursa za wengine kuvumbua dhahabu# watoto wakimarangu kkutafutwa@dili. Kwa ndambindambi mtabaki kusema hivyo hooooyaee ulele ulele uleee
Eeh Mods Funga Hii Kitu inanichefua!!. tumeshachoka kujadiliwa kila siku wachaga wachaga,tumekosa nini?!..wanaotujadili wose ni maisemboooo.....tena tondo kapisaaa!!
najivunia kuwa mchaga tena mmarangu...na namshukuru mungu!!.
Moteree...tere tere!.
"HAIKA RUWA UKO RUWEWU.,!" HAIKA SANA.
Mmeanza na Wamachame sasa leo Wamarangu ,kesho mtakuja kwetu Old Moshi na kwa ndugu zetu warombo.Hujazimishwa kuoa mchaga Aisee kama vipi mtuachie wanawake wetu tuwahandle wenyewe. Mbona kila kabila lina kasoro jamani kwani mbona kuna wamarangu wengi tuu wamedumu kwenye ndoa. Sio kila anaefiwa na mume basi ni mchaga .. Tabia binafsi ya mtu usijumuishe na kabila loh hiv kwan ww kabila lako lipo perfect!!!!!!!
Unaona sasa. Kumbe Msae nayo ni Marangu, na Mamba, na Mwika, na Mamsera na Mkuu..... si mseme wachagga tu kwa ujumla? kwaninı specifally wamarangu.
Guys, msihangaike na eneo moja la uchagani. wachagga letu ni moja. dada zangu ueni haya mambwa tulete heshima chini ya mlima. likija senge linajipendekeza, UA keimamae zake. ueni haya majibwa tubaki peke yetu keimamae zao. UENİ nimesema mimi babu yenu.
Watu wengine nuksi sana. Yaani Mtu akifa tu inakua tatizo kwa sababu tu kaoa Mmarangu? Ulitaka uishi Milele? Kwani ulilazimishwa kuoa Mmarangu? Si ulimuona ni bora kuliko wengine wote ndio maana ukamuoa?
Watu wengine wivu unawasumbua tu kifuani mwao, Wanatafuta kila njia kuwachokonoa wachaga. Mara museme Wachaga ni Wabaguzi, Mara Museme wanasaidiana wao kwa wao tu, Mara Museme wanajenga kwao tu na sasa mumekuja na hila nyingine kua eti wanaua waume zao? Jamani Hii Itaisha lini?
Mlianza na kuwasasambua Wamachame kwa muda mrefu sasa naona mmeamua kuhamia kwa Wamarangu. Kwani kinachowapeleka kuoa Wamarangu ni nini? si Kiherehere chenu wenyewe? Wee kama siku zako za kufa zimefika kufa Kimya Kimya na acha kunyooshea Wamarangu vidole. Kwani waliooa kabila nyingine hawafi? Mnaniudhi sana watu munaowachawia Dada Zetu.
Umeinaa eeh, yaan watu wanachonga tuu lakin bado tuko juu .wamaranguuu oyeeeeeeee, wamaranguuuu juuuuuu
muache kututongoza mkuu... mtukomeMpo juu kwenda wap wauaji nyie!
wivu tu unakusumbua>>>> unatamani ungekua mchaga ...lakini ..too bad ..Huwezi badilisha kabila. Kama wewe kabila lako ni Mtumbua utaendelea kuwa Mtumbua, na utaendelea kuwa na tabia za Kitumbua.... Tuache Wachagga Tukisonga Mbele.