ALFHA MWITA
Member
- Jun 28, 2025
- 83
- 107
muraa amang'ana mbuya mbore wenyu hayoNenkorochee keono orereye mpaka ghonkoro!
muraa amang'ana mbuya mbore wenyu hayoNenkorochee keono orereye mpaka ghonkoro!
mbuya moreeTatigha mura weito weeiii
Ewaaah 😹😹Kabisa !! Sio wachoyo Hawa watu yaani unaweza Kuta umeoa Mwanamke na humo humo kijijini unagongewa na ni kawaida tu.
Kuna muda niliishi nao mkoa wa Mara basi wakawa wananiona muda wote Niko peke yangu nikawakuta siku Moja wadada wanakaanga samaki nilivyonunua wakaniuliza "umepata shemeji hapa kijijini nini? Nikawajubu "humu kijijini mm naona Kila mwanamke amechukuliwa" wakanijibu " mbona unaweza Kuta mtu kaolewa na nje ana Mwanamke? Nikakosacha cha kuwajibu niliona ishara ya hatari maana nilikuwa sijamaliza hata mwaka kijijini
Unajifanya mjuaji, wapi nimeandika Mzanaki? Hujui kusoma? Kabila lake ni Msizaki soma tuliza kichwa hiko. Vitu hamjui mnatunga na chuki zenu. Wakurya hivi mara vile, kuna makabila madogo mengi, hujiita Wakurya kupunguza maswali. Kama wewe nimeandika Msizaki unasema Mzanaki sijui hujui kusoma.Mzanaki na mbibo wambura wapi na wapi
Tattoo za ki bantuuChale ni tattoo tu
Kwangu jipya Hilo kabila, chuki zipi mnalea watoto kikatili utadhani mtawaoa.Unajifanya mjuaji, wapi nimeandika Mzanaki? Hujui kusoma? Kabila lake ni Msizaki soma tuliza kichwa hiko. Vitu hamjui mnatunga na chuki zenu. Wakurya hivi mara vile, kuna makabila madogo mengi, hujiita Wakurya kupunguza maswali. Kama wewe nimeandika Msizaki unasema Mzanaki sijui hujui kusoma.
Mbuya nyang'ombe aghahayoo!muraa amang'ana mbuya mbore wenyu hayo
Sidhani kama atakuelewa. Hawa ni wale watoto wa Dar wanaojua Sakura wanatokea MusomaUmekutana na mjita, mkurya hapendi urogi wala kuongea sana hasa kwa mumewe ni mnyenyekevu na msikivu mno. Kwa vile wote wanatoka mkoa wa Mara hata wajita nao hujiita wakurya kuficha identify yao sababu ya sifa zao kuu za kupenda sana madawa na kutokukaa kwenye ndoa. KERATO MOMBAA muelimishe huyo
Jichanganye umzingue ndio utawajua vizuri hawanaga ujirani baada ya hapo, wale sio watu we waone hivyo tu
Napinga vikali, mimi ni shuhuda.Wakurya sio Wachawi. Ukikuta mkurya mchawu kaenda kununua.
Pia ni wakarimu.
Mkielewana na mwanamke wa kikurya anayejitambua hapo Hadi mauti iwatenganishe
Na sura kama za baba zao😂😂😂 ila wakurya wamekomaa sana mwili mzima misuli wengi wana shape za simba😁
Esther Bulaya ni mjita
Kwani nani kasema siyo Watanzania? uwe unasoma basi usipende kujibu kila kitu kama hujaelewa MkuuWakurya siyo watanzania?
Hebu fuatilia alichosema, aliulizwa we kabila gani akajibu mtanzania, ndio nikamwuliza wakurya siyo watanzania?Kwani nani kasema siyo Watanzania? uwe unasoma basi usipende kujibu kila kitu kama hujaelewa Mkuu
Alikuwa anakuuliza wewe au mimi Mkuu? Naona umekurupuka kwaheriHebu fuatilia alichosema, aliulizwa we kabila gani akajibu mtanzania, ndio nikamwuliza wakurya siyo watanzania?
Kwani mmeshikiwa mitutu kuoa wanawake wa kikurya?Kwangu jipya Hilo kabila, chuki zipi mnalea watoto kikatili utadhani mtawaoa.
Muharibu watoto halafu aje aoe nani,oaneni ninyi kwa ninyi