Naona mnajichanganya sana na kabila la kikurya orgii, hakuna mwanamke mkurya anaongea saana kwa mumewe au kujifanya mbabe au kupenda urogi, mara ina vikabila vingi vyenye tabia hizo ambazo pia huwezi mkuta mwanaume wa kikurya ameoa!Labda wakurya wa bunju
Mkuu amani ya nini hapa duniani Amani iko mbinguni tuni mara chache sana kukuta ndoanya mkurya na msukuma inaamani
Esther Matiko na Bulaya.Kupitia uzi huu nimegundua kwa haraka haraka mkurya nayemjua ni Lady Jaydee pekee
Kabila la wakurya ni wachache ama?
Emmm kwanza tulia, hao wanawake umekutana kwao tarime au serengeti ama mkurya wa kehancha au ni wale wa kufika mjini hata awe mjita anakwambia mi mkurya ili tu muwaogope eti ni watu wa mapanga ilihali mwanamke wa kikurya hana jeuri ya kumshikia mwanaume panga, wala mambo ya urogi? Hao umepatana nao ni wajita, wakabwa, wakiroba huko wazanaki na jamii zingine zingine za ziwani hukooUtalishwa limbata uwe zuzu
Mmmmh siwajui hao hebu niwagoogleEsther Matiko na Bulaya.
Lamomy umesikia 😆😆😆 sisi kabila la Watanzania hatufai piaMakabila mengi yachachambuliwa sana,yote hayafai,mara hawa malaya,wengine wachawi, wengine kwenye ngoma akisikia tu hakai nyumbani,wengine wanaua waume zao,wengine madharau na majigambo.
Conclusion inakuja wanawake wanaofaa kuolewa ni wasukuma.
Wakurya kabisa og hapo tarimeEmmm kwanza tulia, hao wanawake umekutana kwao tarime au serengeti ama mkurya wa kehancha au ni wale wa kufika mjini hata awe mjita anakwambia mi mkurya ili tu muwaogope eti ni watu wa mapanga ilihali mwanamke wa kikurya hana jeuri ya kumshikia mwanaume panga, wala mambo ya urogi? Hao umepatana nao ni wajita, wakabwa, wakiroba huko wazanaki na jamii zingine zingine za ziwani hukoo
Huwajui wewe hao kukushikia panga ni dakika sufuri tu na jinsi walivyo utafikiri majike dume full ubabe kaoe kwao uone vurugu zao hawa roho hao ni panga tu kwa kwenda kaburiniWakurya sio Wachawi.
Pia ni wakarimu.
Mkielewana na mwanamke wa kikurya anayejitambua hapo Hadi mauti iwatenganishe
Na athari zao sio kupata ujeuri nikwambie vizuri, wanakuwa watii na wavumilivu no marr waat wazungu wanasema! Mwanamke wa kikurya anapigwa anatolewa bandama anakwenda anajiuguza akipona tu huyoo kwa mumewe, anapigwa tena wanang'oa meno ameakaa, wanavunja yupo tu kwake! Hii ni kwasababu bibi ameyaishi hayo maisha akiona, mama akayaishi hayo maisha yeye anaona, mtoto anahisi ndivyo anatakiwa kuishi no marr waaa! Kumbe ni unyanyasaji wa kijinsia na kukosa elimu na haki ya kujitetea maana hata atesekeje hatakiwi kurudi kwao hasa na kaka zake wakiwepo anasema ndoa imemshinda! Ni mwiko kwao kutoka kwenye ndoaWahanga wa malezi ya unyanyasaji utotoni
Esther Bulaya ni mjitaEsther Matiko na Bulaya.