Mara Haikuitwa kanda Maalumu kwa bahati mbaya..Wakurya,Wajita ndio Top rated Tribe kwenye Millitary System za TZ, Kifupi ndio wanaoongeza Mifumo yoote ya Ulinzi Nchi hii..kuanzia JWTZ, Tanpol, Magereza, FFU n.k 60% ya Askari ni Chacha, Warioba, Mwita, Wambura, Magori, Mbusiro n.k
Ukiwa depo na Jina lako ni lakikurya basi unanafasi kubwa sana ya kupata ajira Jeshini..Wakurya Sio wanaume sio wanawake ni Jamii flani ambayo ishazoea Purukusheni..Jamii ya Kuwinda kuua ni dakika 0 hawachukui Maelezo mara mbili.
Kwahiyo Tahadhali kwa wanaume wa Dar/Tanga kama unataka kuchezea kipigo kila siku nenda kaoe kule kanda Maalumu