Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,373
- 37,192
Kuna huyo mmoja alikua ANAWEZA kunipanda KICHWANI Mimi ni very humble, mtulivu wa fikra na sio mtu mrahisi kugombana au kukasirika kwa urahisiiiDharau, viburi, wivu.....✅✅🙌
Kuna huyo mmoja alikua ANAWEZA kunipanda KICHWANI Mimi ni very humble, mtulivu wa fikra na sio mtu mrahisi kugombana au kukasirika kwa urahisiiiDharau, viburi, wivu.....✅✅🙌
Naunga mkono hojaa 😊Wakurya ni kabila la watu wajinga ambao hawana EI Emotional Intelligence wamekuwa na kukuzwa katika Violence Mindset .
Ukimtoa John Heche Ila the rest hawapo vizuri including mentally.
Kitu Pekee nachowakubali Wakurya ni kuwa wanajiamini Sana wapo tayari kwa lolote.
Heche kasoma Kenya hiyo imemsaidiaSasa huyo Heche mmemuona ndiyo ana akili ndiyo maana viongozi wa CCM wana tamba na kula maisha kwasababu kama wananchi wanashindwa kuwatambua viongozi wao, na kuona kila Kiongozi wao wa ngazi za juu yupo vizuri kuzidi wengine na hawataki kuambiwa ukweli.
Hata Mimi mkuu, Nina huyo ni kama mdogo wangu, lakini sasa nisipomtafuta siku 2 ni kesi kubwa.Kuna huyo mmoja alikua ANAWEZA kunipanda KICHWANI Mimi ni very humble, mtulivu wa fikra na sio mtu mrahisi kugombana au kukasirika kwa urahisiii
Ukiwa na akili sana za darasani Ila ukakosa Emotional intelligence inakuwa Kazi bure.Naunga mkono hojaa 😊
Ila wapo exceptional nilikutana nao a-level na chuo kwa kweriiiii walikua wapo poa.
BRIGHT KAMA SIO WAKURYA VILEE ILA WENGII WAPO VERY AGGRESSIVE KULE MWANZA TUNAWAITAGA """WASHASHII""
Hasa Vijana Wala ChipsiKwamba wanaume watatu wa Dar na Tanga wanaweza kutembezewa kichapo ni Mwanamke Mmoja wa Kikurya Inasikitisha sana
Kuna huyu Yuko singleKupitia uzi huu nimegundua kwa haraka haraka mkurya nayemjua ni Lady Jaydee pekee
Kabila la wakurya ni wachache ama?
Kuna huyu Yuko singleView attachment 3413254
Wakurya siyo watanzania?Mtanzania
Kabisa !! Sio wachoyo Hawa watu yaani unaweza Kuta umeoa Mwanamke na humo humo kijijini unagongewa na ni kawaida tu.Umesahau umalaya 😹😹
Hadi mjomba ake anampea kitumbua akilenge..!! 🤣
Kabisa !! Sio wachoyo Hawa watu yaani unaweza Kuta umeoa Mwanamke na humo humo kijijini unagongewa na ni kawaida tu.
Kuna muda niliishi nao mkoa wa Mara basi wakawa wananiona muda wote Niko peke yangu nikawakuta siku Moja wadada wanakaanga samaki nilivyonunua wakaniuliza "umepata shemeji hapa kijijini nini? Nikawajubu "humu kijijini mm naona Kila mwanamke amechukuliwa" wakanijibu " mbona unaweza Kuta mtu kaolewa na nje ana Mwanamke? Nikakosacha cha kuwajibu niliona ishara ya hatari maana nilikuwa sijamaliza hata mwaka kijijini
Ni watiifu, wachakarikaji na pia ni warembo wa asili vibuno ndio kwao, wanapenda kuandika majina ya ubini wa waume zao badala ya baba zao kinachonisikitisha wanapigwa sana na wanaume zao na mwisho Mwanamke wa kikurya aliolewa akitaka kuachika mpaka arudishe mali ( ngombe) la sivyo utahesabika mke mpa kifo
Bado huna akili mie sio general manager wala mie sio mwenye sehemu mnawivu zakifala tu na kama wanatakiwa wasimamiwe nitawasimamia kama hawataki wakafungue migahawa yao au hoteli zao kila mahali kuna sheria nakanuni . Lazima mzifuate mtu anakuja saa 4 asubuhi eti nikazini . Usimulize nasio siku yake ya usafi . Ukifanya usafi unaingia ijioni wasiofanya wanakuja asubuhi .Kumbe ulienda kuwatawala eeeh na ujaenda kuwa kiongozi ndiyo maana ulikiona cha moto kuna makabila hayajawahi kutawaliwa toka enzi na enzi za Ukoloni wao hawajawahi kuuzwa, Sasa unatoka uko kwenu unakuja na Tamaduni zenu uko za kufokea watu au kutukana na kuakalipia watu na wakutetemekee kisa umekuja kuwatawala. Kila sehemu wana utamaduni wao na Mira zao sasa wewe ukienda unatakiwa uwasome ili uendane nao na hii ni ata Sehemu ya kazi ukipelekwa ili ukawe kiongozi lazima uwasome kwanza na uwajue ili uwezi kutimiza majukumu yako kwa urahisi, siyo wewe umeenda sehemu umekabidhiwa ofisi tu na kuanza kupelekesha watu na kuingiza mifumo yako kwa ghafla lazima utaona kazi chungu na utona unarogwa na una chukiwa,kumbe ukujua tu kuishi na watu.
Chale ni tattoo tuNionyeshe msukuma asiye na chale ""kuchanjwa chale"
Nipo pale na cocktail ya ukwaju na konyagiiii
Uhakika 💯Huyu namjua kumbe na yeye mkurya
Sasa mbona umeondoka ukawaacha, nyie ndiyo mkipewa cheo na watu weupe mnaanza kutesa Watanzania wenzenu ili mpendwe na Wazungu na utakuta mnawafundisha wageni kukwepa sheria za kazi kwa wafanyakazi utakuta mzungu anataka afate mtaratibu za nchi ila nyinyi mnamfundisha njia za panya.Bado huna akili mie sio general manager wala mie sio mwenye sehemu mnawivu zakifala tu na kama wanatakiwa wasimamiwe nitawasimamia kama hawataki wakafungue migahawa yao au hoteli zao kila mahali kuna sheria nakanuni . Lazima mzifuate mtu anakuja saa 4 asubuhi eti nikazini . Usimulize nasio siku yake ya usafi . Ukifanya usafi unaingia ijioni wasiofanya wanakuja asubuhi .
So kama hutaki kubugudhiwa ungefungua yako ili ujitawale .
Hawa labda wakurya wasiojitambua waliolelewa KWA mateso.Huwa wanatabia ya KUMPANDA MWANAUME KICHWANI.
DHARAU, VIBURII, UGOMVII USIO NA SABABU, WIVUU KUPITILIZA, UBABEE HATAREEE